Ligi Kuu ya Vodacom: Yanga Afrika vs Azam, 6 Mei 2015

Naona mteja wa mirembe umejitoa mhanga kunishambulia kwa matusi baada ya kushindwa kunjibu hoja za kisoka.
Hata hivyo baba yenu Invisible huwa anawalinda na kuadhibu washabiki wa Simba pekee wakati kiukweli Yanga ndio mnaanza matusi siku zote.

We jamaa utakuwa na mtindio wa ubongo. Hivi hapo tusi ni lipi ? Au ndiyo maana hujui tofauti ya kuwania ubingwa na kuwania kuifunga yanga. Katika hiyo post ebu taja tusi moja tuu
 
Last edited by a moderator:
Azam wanafanya mabadiliko frank domayo out john boko ndani.

Frank domayo na kavumbagu naona wamepishana na ubingwa.
 
hawa azam mbona wazembewazembe sana?yani wanakua kama mizoba kha!!!
 
Naomba kuuliza simba mara ya mwisho kushiriki mashindano ya kimataifa ilikuwa mwaka gani ?, ilicheza na timu gani pia iliishia raund ya ngapi ?. Usisahau na aggregate ya magoli

Walicheza na Raja De Casablanca, kwani vipi????
 
mwambie golikipa wa yanga atoke golini bana, aungane na wenzie uwanjani halafu atarudi baadae wakishafungwa kengine

Wameniudhi kweli leo list ya kwanza iliyotoka golini alikuwa akae mtaalam mzee akilimali sijui kwanini walichange
 
Last edited by a moderator:
Ishu ni kupanda ndege tu au walau kufika robo fainali ya mashindano ya CAF?

Wasindikizaji wa kujisifu kupiiga chenga nyingi hao wakifika hata robo fainali mimi nitaacha kuyaita wateja wa mirembe.
Kule hakuna manunuzi ya mechi ni uwezo dimbani tu.
 
Wasindikizaji wa kujisifu kupiiga chenga nyingi hao wakifika hata robo fainali mimi nitaacha kuyaita wateja wa mirembe.
Kule hakuna manunuzi ya mechi ni uwezo dimbani tu.


Kamuulize wenger ana miaka mingapi arsernal inashiriki UEFA na wanaishia wapi? We jamaa CC Trilioni naona hauko sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…