Ligi namba sita kwa ubora?!

Ligi namba sita kwa ubora?!

Joined
Jan 17, 2013
Posts
8
Reaction score
18
Imebidi leo nifikirie kwa undani sana hizi taarifa zinazotolewa na vyombo vyetu vya habari mbali mbali hapa nchini kwa kupamba baadhi ya matangazo yakisema ligi namba 6 kwa ubora tanzania kiukweli nijambo jema kwa watanzania jambo moja muhimu ni je kitugani wanaangalia mpaka kuupa hadhi mpira wetu na ligi yetu?

Kuna baadhi ya mambo ukiangalia kwenye ligi yetu unaona bado hatujafika kwenye hizo hatua kwamfano; vilabu vyetu vyote vya ligi kuu hamna supplier mkubwa wa kusambaza vifaa vya michezo kama vile nike,addidas,puma n.K

Ukitoa simba yanga na azam vilabu vilivyo baki havina anuani za makaz ya kudumu,havina vyazo vya mapato,havina uwezo wa kusaini mkataba wa sponsor wenye thaman ya 1b+ bado viwanja vibovu pamoja na miundombinu ya uwanja sio rafiki

Naamini bado safari ndefu tusijifichie kwenye hicho kichaka cha propaganda bodi ya ligi bado inahitaji marekebisho kwa maslahi baadae ya mpira wetu
 
je kitugani wanaangalia mpaka kuupa hadhi mpira wetu na ligi yetu?
Points kwa kila nchi zinatokana na Points za Vilabu vinavyoshiriki Michuano ya CAF! Sasa kama ujuavyo, kwa misimu 3 mfululizo Mnyama na Uto wamechangia Points. Ukichukua 2023/2024 kwa mfano, Uto alifika robo na Manyama alifika robo kwahiyo kila mmoja alichangia points (3x5)x2 = 30, na msimu mmoja nyuma, tulivuna points nyingi zaidi baada ya Uto kufika Fainali ya CC
 
Pamba jiji wamedhaminiwa kwa zaidi ya hiyo 1B.
Unaposema ni ligi namba 6 kwa ubora umeifananisha na ligi ipi?? Malawi, Zimbabwe, Zambia, Angola, Kenya au wapi??
Matatizo ya ligi yetu si ajabu huko kwingine ni majanga zaidi.
 
Imebidi leo nifikirie kwa undani sana hizi taarifa zinazotolewa na vyombo vyetu vya habari mbali mbali hapa nchini kwa kupamba baadhi ya matangazo yakisema ligi namba 6 kwa ubora tanzania kiukweli nijambo jema kwa watanzania jambo moja muhimu ni je kitugani wanaangalia mpaka kuupa hadhi mpira wetu na ligi yetu?

Kuna baadhi ya mambo ukiangalia kwenye ligi yetu unaona bado hatujafika kwenye hizo hatua kwamfano; vilabu vyetu vyote vya ligi kuu hamna supplier mkubwa wa kusambaza vifaa vya michezo kama vile nike,addidas,puma n.K

Ukitoa simba yanga na azam vilabu vilivyo baki havina anuani za makaz ya kudumu,havina vyazo vya mapato,havina uwezo wa kusaini mkataba wa sponsor wenye thaman ya 1b+ bado viwanja vibovu pamoja na miundombinu ya uwanja sio rafiki

Naamini bado safari ndefu tusijifichie kwenye hicho kichaka cha propaganda bodi ya ligi bado inahitaji marekebisho kwa maslahi baadae ya mpira wetu
Unashangaa kuwa namba 6 wakati tulikuwa 4 ila sasa hivi tumeshuka
 
Pamba jiji wamedhaminiwa kwa zaidi ya hiyo 1B.
Unaposema ni ligi namba 6 kwa ubora umeifananisha na ligi ipi?? Malawi, Zimbabwe, Zambia, Angola, Kenya au wapi??
Matatizo ya ligi yetu si ajabu huko kwingine ni majanga zaidi.
Usingemjibu kwa kuwa aliweka neno propaganda.
 
Points kwa kila nchi zinatokana na Points za Vilabu vinavyoshiriki Michuano ya CAF! Sasa kama ujuavyo, kwa misimu 3 mfululizo Mnyama na Uto wamechangia Points. Ukichukua 2023/2024 kwa mfano, Uto alifika robo na Manyama alifika robo kwahiyo kila mmoja alichangia points (3x5)x2 = 30, na msimu mmoja nyuma, tulivuna points nyingi zaidi baada ya Uto kufika Fainali ya CC
Kwa point za CAF zinaibeba ligi je Kiuhalisia ushindani upo kuwepo kwenye hiyo nafasi
 
Imebidi leo nifikirie kwa undani sana hizi taarifa zinazotolewa na vyombo vyetu vya habari mbali mbali hapa nchini kwa kupamba baadhi ya matangazo yakisema ligi namba 6 kwa ubora tanzania kiukweli nijambo jema kwa watanzania jambo moja muhimu ni je kitugani wanaangalia mpaka kuupa hadhi mpira wetu na ligi yetu?

Kuna baadhi ya mambo ukiangalia kwenye ligi yetu unaona bado hatujafika kwenye hizo hatua kwamfano; vilabu vyetu vyote vya ligi kuu hamna supplier mkubwa wa kusambaza vifaa vya michezo kama vile nike,addidas,puma n.K

Ukitoa simba yanga na azam vilabu vilivyo baki havina anuani za makaz ya kudumu,havina vyazo vya mapato,havina uwezo wa kusaini mkataba wa sponsor wenye thaman ya 1b+ bado viwanja vibovu pamoja na miundombinu ya uwanja sio rafiki

Naamini bado safari ndefu tusijifichie kwenye hicho kichaka cha propaganda bodi ya ligi bado inahitaji marekebisho kwa maslahi baadae ya mpira wetu
Ligi namba 6 ?
 
Back
Top Bottom