Baada ya miaka ya hivi karibuni ligi ya italy kupoteza ubora kama miaka ya nyuma ambapo timu za AC milan na juventus kuwa wababe wa ligi za ulaya pamoja na miamba ya Inter milan ligi hii ilipitia changamoto nyingi hadi kupoteza ushindani kwenye michuano ya ulaya na ubabe huo ukihamia katika nchi za spain na uingereza.
Vigigo wa ligi hiyo JUVE,AC milan, inter, roma wameanza kujidhatiti katika kufanya mabadiliko ya timu zao huku juve baada ya kumchukua Ronaldo ili awaletee UEFA na kuishia katikati ya safari wameamua kuboresha kikosi chake kwa kumchukua kocha wa chelsea Sarri ambae amekuwa kocha katika ligi hiyo kwa muda mrefu, ndugu zao Ac milan wameboresha bench lao kwa kubadili kocha wao hii inaonyesha sasa juhudi wanazo fanya ligi hii inarudisha ushindani wao wa muda mrefu.
Vigigo wa ligi hiyo JUVE,AC milan, inter, roma wameanza kujidhatiti katika kufanya mabadiliko ya timu zao huku juve baada ya kumchukua Ronaldo ili awaletee UEFA na kuishia katikati ya safari wameamua kuboresha kikosi chake kwa kumchukua kocha wa chelsea Sarri ambae amekuwa kocha katika ligi hiyo kwa muda mrefu, ndugu zao Ac milan wameboresha bench lao kwa kubadili kocha wao hii inaonyesha sasa juhudi wanazo fanya ligi hii inarudisha ushindani wao wa muda mrefu.