Ligi ya Mabingwa Afrika nchini eSwatin: Mbabane Swallows 0 - 4 Simba SC

Salaam zikufikie popote ulipo
Wabovu wamekutana hapo,tena hawa mbabane washukuru wanacheza na timu inayoshika nafasi ya 3 kwenye ligi yetu,ingekutana na inayoongoza ligi wangechezea hata 8 leo dadadek
 
Yule mtoto nilimwambia akabisha tukabet ngoja niende KCMC nikamsaliti wife nishaitwa.
 
Yanga wanataka kumsajili golikipa wa Mbabane Swallows..Mbadala wa Beno Kakolanya [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196]
Sie kama simba tuko tayari kuwasaidia hela kidogo ya usajili, ila sio vibaya wakibadilishana na Claus Kindoki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…