π π π π leoo.Wanay
Wanatafuta goli 2 hapa wasikilizaji
Yaani wanajidai sana. Walijua pesa zinafunga magoal? Wakawaulize PSG.Wanajambishwa hatari, kikosi kipana
ππππYaani mikia wakifungwa leo lazima nibebe mimba ya mapacha.
Jamani bado tu?
ππππTupo pamoja dogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani mikia wakifungwa leo lazima nibebe mimba ya mapacha.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mikia mama kanyabwela kitumbo chamsokota
Labda wabebe mimbaWow,yaani naomba Mungu dakika zikimbie isivyo kawaida. Walisema mwaka huu wanabeba CL.
Hapana Pacha mi niko kwa Wananchi nipo kuwatania hapa. [emoji3][emoji3][emoji3]
πππ ntakutag Dada. ππJamani mikia wakisawazisha na kuongeza la pili mnitagi ili nilog off JF miezi yote iliyobaki kwa mwaka 2019.