Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Huyu songo kaja na balaa
Usajili mkubwa unaishia ligi kuu
So painful
Mfungwe tu ili tuondokane na aibu ya hamsa hamsaSimba tutafungwa la pili..sababu tunafosi kwenda mbele kufunga tunasahau kulinda goli..
Mikia wanapata tutaa
85' wamepata goli kwa penaltyDakika ya ngapi huko?
Hahahah yaan acha Jana kocha katuuza sis arsenal ,ila Leo simba watoke tu, wanamdomo sana hasa manaraPole. Mme wangu ni Yanga. Sema jana tumelia wote. Yeye Arsenal mimi Man united.
Dk 86...
1-1 goooool