DOKEZO Ligi ya madereva wa mabasi imerudi upya

DOKEZO Ligi ya madereva wa mabasi imerudi upya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Haji Mashaka Nassoro

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2021
Posts
384
Reaction score
850
High ways zetu hali si shwari ndugu zangu madereva wa mabasi ya masafa marefu na mafupi ni vurugu tupu dhana ya Defance drive ni zero jamaa wanafukuzana kama hawana akili nzuri.

Kikao cha bunge la bajeri kijacho wapeleke muswada wa marekebisho ya sheria makosa ya usalama barabarani wasimamie "Wajeda amri moja" dereva wa basi akijifanya hamnazo over take za kijinga anatandikwa bakora mbele ya abiria.
 
Ally's inayotoka Dar-Mwanza saa nne kamili usiku inakua imefika
 
High ways zetu hali si shwari ndugu zangu madereva wa mabasi ya masafa marefu na mafupi ni vurugu tupu dhana ya Defance drive ni zero jamaa wanafukuzana kama hawana akili nzuri.

Kikao cha bunge la bajeri kijacho wapeleke muswada wa marekebisho ya sheria makosa ya usalama barabarani wasimamie "Wajeda amri moja" dereva wa basi akijifanya hamnazo over take za kijinga anatandikwa bakora mbele ya abiria.
Tunamshukuru maana hatutaki torch
 
Kuna ligi kubwa sana kati ya bus za Mchina youtong/zhongtong/Asia star/Golden gragon v Scania gemilang/ G7 Marco polo

1. Mbeya ni Sauli V Golden deer/new force
2. Mwanza sasa ni Ally's star V Katarama
3. Tanga ni Ratco v Nacharo
3. Arusha BM V Abood

Kuna mbio sana huko barabarani na overtaking za hovyo hovyo. Siku yakija kutokea ya kutokea ni maafa hasa hizo route za Mbeya na Mwanza.
 
Lane angalau mbili zinaenda, mbili zinarudi, Mwanza - Mbeya, Dar - Kigoma, Mtwara - Kagera, Arusha - Rukwa.

Labda wawe wanaingia porini, ila head collision hutosikia tena!

Mchawi miundombinu! Kuna sehemu unatembea 140kph kwa km 200 non-stop, no issue na ni Africa hii hii ya chini ya jangwa la sahara
 
Ally's inayotoka Dar-Mwanza saa nne kamili usiku inakua imefika
una uhakika mkuu? mie nilipanda january walisema muda elekezi ni saa sita usiku wawe Mwanza..Baada ya kuwa mbele ya muda dereva alipaki bus Shinyanga kuvuta muda kidogo.
 
Kwa hali ilipofikia serikali ikubali tu sasa kazi ya kusimamia sheria barabarani wapewe JWTZ basi,bora lawama kuliko huu ujinga wa kuuana/kutiana vilema kwa ujinga wa watu wachache!?na trafic case zote ziendeshwe kijeshi tu,kosa dogo ni jela miezi 3!!kama napo tuta fail tuwaite wazee wa kujilipua WAGNER wasimamie kitengo!!siasa zimezidi sana!!
 
Haya mambo yapo muda tu.
Zamani barabara vumbi tunatoka na super Najmunisa Singida asb sa moja tukapigwa mkono hapo kibaha kabla ya sa moja usiku.
Dere anaulizwa umetembea vp toka Singida mpk dom vumbi,toka dom kuja huku masaa 8 imekuwaje unafika sa hii .
Dereva hana majibu alikua mtu mzima tu kapiga kaunda suti.
Wakamweka lokapu afidie mda aliokimbia😅😅😅.
Halafu hawajui dere katuweka sana hapo Moro kwa kuogopa kufika mapema atakamatwa.
Ikabidi abiria tuko ndani ya bus dereva lock up mpk saa tatu usiku anatoka.
Ndo tunaanza kwenda ubungo.
Yule mwamba speed aliyochapa kule porini sgd-dom haikua poa maana ilikua km safari rally na vumbi lile duh.
Ilikua Nissan diesel ile machine au MAN sio Scania
 
Kwa hali ilipofikia serikali ikubali tu sasa kazi ya kusimamia sheria barabarani wapewe JWTZ basi,bora lawama kuliko huu ujinga wa kuuana/kutiana vilema kwa ujinga wa watu wachache!?na trafic case zote ziendeshwe kijeshi tu,kosa dogo ni jela miezi 3!!kama napo tuta fail tuwaite wazee wa kujilipua WAGNER wasimamie kitengo!!siasa zimezidi sana!!
Kiongozi umeongea point sana madereva wa mabasi Tanzania ni janga la taifa. Afande Fotunatus Musilim alipokua kamanda wa usalama barabarani taifa walau alikua mkali kidogo kwa madereva wapumbavu.
 
Ratco ya Tanga dar ile luxur ya saa kumi na mbili asubuhi inatembea kama v8😂
 
Back
Top Bottom