Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Hahaha mke haachwi kwa kosa moja..tuwape mda hawa asenaliBwana bwanaaah ila kwa style hii wale wa asenoooooo tafwazwariiiiii
Ndio ndio kaweke pending tuMi kuna kamchepuko eti kamenuna, mana jana na leo sina hata time nako..... sasa league ndo kwanza imeanza na genye zimepungua kwa kiasi kikubwa mana huku pressure ya mechi, huku pressure ya mikeka,ajiandae kisaikolojia
Shikamoo shemejiBwana bwanaaah ila kwa style hii wale wa asenoooooo tafwazwariiiiii
Labda mpira usiangalizie home. Upate mke kama mimi ule muda unaangalia mpira najisogeza. Ukija kushtuka mpira umeishaNdio ndio kaweke pending tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ligi hizi hatuangalii nyumban,,hamchelewi kubadili chanelLabda mpira usiangalizie home. Upate mke kama mimi ule muda unaangalia mpira najisogeza. Ukija kushtuka mpira umeisha
We ni team gani vileBwana bwanaaah ila kwa style hii wale wa asenoooooo tafwazwariiiiii
Sawa sawa Mkuu,navyopenda soka,iwe kutazama kwa TV, iwe kwenda uwanjani ,au kuuchezaUle utamu unaopishana kidogo na utamu wa papuchi umerudi sasa,siku za wkend hatutopatikana tena kirahisi.
Game zinaanza ijumaa zinaisha jpili,nasisitiza ni ngumu kutupata kwa kipindi hichi