42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Honestly sielewi kwanini Officials wa hizi league wamekuwa wazito kwenye kufanya maamuzi.
Hizi habari za kwamba mchezaji fulani ameambukizwa corona au kuna wachezaji wanaonesha symptoms zinatisha sana.
Sielewi kwanini ligi zinaendelea. Je ni kwa sababu ya pesa?
Afya za wachezaji zimekuwa hazina umuhimu tena?
Hii si sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi habari za kwamba mchezaji fulani ameambukizwa corona au kuna wachezaji wanaonesha symptoms zinatisha sana.
Sielewi kwanini ligi zinaendelea. Je ni kwa sababu ya pesa?
Afya za wachezaji zimekuwa hazina umuhimu tena?
Hii si sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app