Mtaka cha uvunguni shart ainame, sasa akiinama hadi mgongo umuume shauri yake, swali langu ni kuwa, huyo mumewe haendi kazini kwani mpaka ampe dozi kutwa mara tatu?
mmmmmh!utumbo tena????ina maana kama mtu unaenda banda la uani au???
Hivi jina lako la ukoo ni gani kwani....Natumia UKOO.:smile::smile:
Kuna wandoa wengine wanakula tunda mara 3 kwa mwezi yeye kwa siku anaomba ushauri wa nini ajinome tu hii wenzeka wanaiomba yeye anaomba ushauri?Habari za masiku wanaJF wenzangu! Nashukuru mola tumeamka salama salmin....
Kama ilivyo ada kwa Mama kubwa kusakanya ushauri huku na kule pale anapofwatwa na jamii inayomzunguka. Pindi niliporudi safari akaja mwanadada mtanashati kwangu akiomba ushauri afanye nini maana anaona maji yamezidi unga. Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata
Doh, kipondo tena! Na hapo sio kwamba kanyimwa kabisa, ila inakuwa kabaniwa nyongeza tu, sa' asipopewa kabisa inakuaje!
ana bahati huyo angekuja huku angelambwa 6
bacha / bucho nyie mko na undugu?
Natumia UKOO.:smile::smile:
Kuna wandoa wengine wanakula tunda mara 3 kwa mwezi yeye kwa siku anaomba ushauri wa nini ajinome tu hii wenzeka wanaiomba yeye anaomba ushauri?
hamna kitu kama hiyo . Bucho ni mtoto pekee wa mama na baba bucho.
Hivi jina lako la ukoo ni gani kwani....
Mwambie avumilie tu Ndoa ina shida na raha kwa sasa mwanaume ndo anapata raha yeye anapata karaha.
Kama ameshindwa kuhimili mikimiki amruhusu mwanaume atafuta nyumba ndogo awe anapoozea kwanza huko
Ishu hapa ni msuguano unaotokea hivyo inamlazimu kukojoa kwenye ndoo iliyojaa maji kunusuru majeruhi yaliopatikana
HA HA HA HA Haya banaa
Atafute utelezi wa kutengenezwa....
Hellow darling....my sweet dig dig i dreamed about u last nigth
Orait...posti zenu zimefuatana hapo juu....i couldn't tell the difference...
Roya usiandareti bing bang hata utelezi hautakuwepo hasa pakiwa na dabo rodi