Lijuakali, msukuma na Spika kumbe waliingia bungeni wakiwa wamelewa chakali.

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Inasemekana juzi kisa cha hawa watatu kuongea vitu ambavyo havina maadili kwa jamii yetu hasa juu ya mbowe, ni kwamba walikuwa wamelewa, sijui kulikua na party gani ?

Lijuakali baada ya kutoka bungeni alipiga usingizi hadi kuja kuamshwa na mlinzi akitaka kufunga milango.

Spika yeye hakumaliza session, alichukuliwa na walinzi hadi kwake area D na amerusi leo asubuhi anapiga miayo utadhani hajala siku 3.


Msukuma yeye akiongea na Area D FM amekiri kwamba hakuwa sawa na ameomba wanachadema wamsamehe na kumuomba Mbowe amsamehe pia kwa sababu pombe ndio zilisababaisha na kuahidi kumtembelea mhowe jijini dar haraka baada ya bunge kivunjwa.


 
Mmmmh hahaaa kama kweli itakuwa sio vizuri viongozi wetu kuinga Bungeni wamelewa,
Na kibaya zaidi hatua hatuzitachukuliwa dhidi yao.
 
Kweli kabisa.. hadi wake zao wana shangaa imekuaje wakaingia bungeni wanapumua pombe.
Mmmmh hahaaa kama kweli itakuwa sio vizuri viongozi wetu kuinga Bungeni wamelewa,
Na kibaya zaidi hatua hatuzitachukuliwa dhidi yao.
 
Lijuakali ni makalio ya ngedere mwitu.The stone-head is a shame to the society! Akikamatwa achomwe moto hadi afariki huku analia kwa kwikwiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Usiku wa tukio la ahmada [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Ndio maana walikuwa wanaongea UTOPOLO.
 
Mchimba kaburi la mwenzie huanza kuingia yeye mwenyewe kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…