Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Wigi huvaaliwa zaidi na wanawake wenye asili ya Afrika au Wamarekani wa saili ya Afrika.
Chimbuko halisi la uvaaji wigi ni ubaguzi uliokuwepo wakati wa utumwa ambapo wale wenye ngozi nyeupe na nywele shombeshombe walipewa kazi za rahisi za ndani na wale wasio na ngozi nyeupe walifanyishwa kazi ngumu mashambani.
Sababu kubwa ambayo inadhaniwa kuwaathiri wanawake wa asili ya kiafrika ni fikra kuwa mwanamke mwenye nywele ndefu ndio mrembo zaidi kuliko mwanamke mwingine.
Hivyo wanawake wengi wanajaribu kuutafuta urembo huo kwa kuvaa mawigi, daktari wa mambo ya afya amebainisha baadhi ya madhara hasi yanayosababishwa na kuvaa mawigi na usukaji wa nywele za bandia.
Dar 24