Lijue kabila la DINKA, kabila la watu wa watu, kabila la majitu

Lijue kabila la DINKA, kabila la watu wa watu, kabila la majitu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Dinka ni watu gani?

Mamia ya miaka iliyopita , watu wa jamii ya ki Dinka walikuwa wakijuoikana na kuitwa Moinjung, ikiwa na maana watu wa watu. Hili ndilo kabila la watu warefu kabisa barani Afrika.

1614937849730.png

Watu wa jamii ya Dinka, ni wwzalishaji wakubwa wa mtama, uwele, karanga, mahindi, maharagwe, na mazao mengine.

Wanawanke wa kabila la Dinka ndio watendaji wakuu wa shughuli za kilimo, na wanaume wa kabila la DINKA kazi yao kubwa ni kusafisha misitu kwa ajili ya kufanya shughuli za kilimo na kuendelezwa makazi.

Wadinka hulima mara mbili kwa mwaka, na kabila lao limegawinyika katika koo ndogondogo 14.

Hili ndilo kabila kubwa katika Sudan ya Kusini, na watu wake Ni wakarimu Sana, wenye kuoenda wageni, wapenda kujifunza, wanapenda kutoka kwa ajili ya kuiona dunia kwenye mwanga Bora. Hawa Ni wajumuikaji wa shughuli za misiba na furaha pia. Wanachukua Matatizo ya mtu mwingine Kama ya kwao binafsi.

Watu Hawa wanaupenda Sana utamaduni wao nankuuthamini, licha ya kwamba mabadiliko ya kiteknolojia yamekuwa ni adui mkubwa kwa utamaduni wao.
 
Mkuu habari haijakataka kiu ya mtima nahisi urudi ufanyie utafiti ili sisi sote tupate kujifunza.

Kweli kwenye Bible Kuna Majitu yametajwa lakini Mkuu kataja Afrika,na angesema waliishi Karne ipi,Kanda ipi ya Africa,na angeleta reference za kihistoria.

Vinginevyo hii itakuwa tu Kama Riwaya
 
Yaani Bujibuji uko JF since 2009 lakini hujajua bado umuhimu wa picha!?
Jf niko since 2006, tulikuwa tukitumia majina halisi na anwani zetu za kweli, enzi hizo tukiitwa JamboForums.

List of shame ilitusababishia mashaka makubwa ndipo mwaka 2009 nikaja na user name ya Bujibuji.
Swali lako halijakaa kuiujenzi zaidi, ila kunidhalilisha.

Mimi ni nyani mkongwe, watu wa aina yako kwangu ni kama uturi mzuri.

PM yangu iko wazi siku zote, je kulikuwa na ugumu gani kunifuata huko?

Pia hapa tunaweka nyuzi ili kila mtu ashiriki katika kuzijenga na kuziboresha, je ulishindwa ingia Google ukaleta ili jamii ya watu wetu wajionee Hawa majitu yanavyofanana?
 
Jf niko since 2006, tulikuwa tukitumia majina halisi na anwani zetu za kweli, enzi hizo tukiitwa JamboForums.

List of shame ilitusababishia mashaka makubwa ndipo mwaka 2009 nikaja na user name ya @Bujibuji.
Swali lako halijakaa kuiujenzi zaidi, ila kunidhalilisha.

Mimi ni nyani mkongwe, watu wa aina yako kwangu ni kama uturi mzuri.

PM yangu iko wazi siku zote, je kulikuwa na ugumu gani kunifuata huko?

Pia hapa tunaweka nyuzi ili kila mtu ashiriki katika kuzijenga na kuziboresha, je ulishindwa ingia Google ukaleta ili jamii ya watu wetu wajionee Hawa majitu yanavyofanana?
Kwanini unataipu wakati unadraivu at the same time!??? Wewe mwenyewe umeshindwa nini kunifuata PM ukayasema haya, hujui unaniharibia BRAND yangu nimehustle sana kuijenga kwa miaka mingi!??? Ikumbukwe mimi ndiye member pekee hapa JF ambaye rates za PM ziko chini sana, ukiachilia mbali yale makatomakato ya kawaida. Haya ni mafanikio makubwa sana ya serikali ya awamu ya tano, imeondoa utitiri wa kero, kodi & tozo almost 200 ili Watanzania tufanye business watu tutajirike tuwe mazilionea.
 
Jf niko since 2006, tulikuwa tukitumia majina halisi na anwani zetu za kweli, enzi hizo tukiitwa JamboForums.

List of shame ilitusababishia mashaka makubwa ndipo mwaka 2009 nikaja na user name ya @Bujibuji.
Swali lako halijakaa kuiujenzi zaidi, ila kunidhalilisha.

Mimi ni nyani mkongwe, watu wa aina yako kwangu ni kama uturi mzuri.

PM yangu iko wazi siku zote, je kulikuwa na ugumu gani kunifuata huko?

Pia hapa tunaweka nyuzi ili kila mtu ashiriki katika kuzijenga na kuziboresha, je ulishindwa ingia Google ukaleta ili jamii ya watu wetu wajionee Hawa majitu yanavyofanana?
Hahahahahahahaa mbavu zangu mm, umedhalilishwa kama Lowasa alipong'atuka
 
Back
Top Bottom