Lijue kabila la DINKA, kabila la watu wa watu, kabila la majitu

Komredi naona umeamua kutoa darasa huru kwa kijana.....
 
Wamefeli walisha angamizwa
 
😳😳
 
Ikiwa kazi kubwa ya Wadinka wa kiume ni kukata misitu itakuwa tangu miaka hiyo kwa sasa hawana kazi tena.
Halafu naomba nifahamishe jinsi ya kupeleka posa kwa wasichana wa kidinka kwani nimependa sana vimo vyao ili niwalete kwetu milimani.
 
Ikiwa kazi kubwa ya wadinka wa kiume ni kukata misitu itakuwa tangu miaka hiyo kwa sasa hawana kazi tena.
Halafu naomba nifahamishe jinsi ya kupeleka posa kwa wasichana wa kidinka kwani nimependa sana vimo vyao ili niwalete kwetu milimani.
Nakupa utaratibu soon
 
Kwani wale si waliteketezwa na mvua ya gharika au baadhi waliingia kwenye safina?
Walichotwa na mvua ya gharika wote wale majitu sababu yalikuwa yamezaliwa kiharamu haramu vile. (uhusiano kati ya malaika na raia wa duniani) ndio wakatoka copy ya hiyo mijitu mi deadly! 😂
✌️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…