Like Father Like Son RMX....!!!

Like Father Like Son RMX....!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Niaje wakuu,
Bila shaka kwa wale wapenzi wa hiphop mnaielewa vizuri hii ngoma ya stamina alioshirikisha vichwa kibao ambapo Fid a.k.a kaka mkubwa amesimama kama dingi yake stamina. Swali ni kwamba je, kama the late Ngwair angekuepo hii Leo nani angesimama kama son?
 
Jibu ni simple tu, Le Baharia... Le mbebez
 
Hakuna hip hop hapo waimba mithiri/mifano na kistyle chao cha "niite francis ambae sitaki upapa.......

Bongo labda niki mbishi na wakazi kwa miaka hii.
 
Back
Top Bottom