Like when you get it

Madame nikiona comment yako tu huwa nachangamka sana sijui kwa nini..!
Asante kwa kuchangamka mkuu.
Kwanza mie ni mchangamfu sana pia sinaga mambo ya kifoooo.
Mie kila mtu rafiki yangu na best yangu pia.

Ila nikitibuliwa sasa, nakuwa kama nimelisha Kidono au Kinkuti.
Karibu sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…