Likizo imeanza, tulia kwako kina junya wapo makwao

Likizo imeanza, tulia kwako kina junya wapo makwao

Vishu Mtata

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2019
Posts
15,954
Reaction score
35,415
Wakuu sina haja ya salam.

Huu ni ushauri tu kwa nyie mnaopenda visafari vya hapa na pale. Watumishi wa kada ambazo zipo likizo kama walimu nawashauri mtulie tu makwenu.

Kwanini nasema hivo, hii likizo ni ndefu kina junya nao hawaendi shule wapo tu wanaangalia katuni nyumbani kwao, ili usiumbuke ewe mtu mzima achana na mbao ya kuzurula kwenye nyumba za watu.

Kina junya hawachelewi kukuumbua ama lah kukukosanisha na familia uliyoitembelea.
Watoto wa bush wabaki huko huko wasiende town kuiga tabia za kina junya.

Muwe na asubuhi njema na niwatakie kina junya likizo njema.

Nawasilisha.
 
Wakuu sina haja ya salam.

Huu ni ushauri tu kwa nyie mnaopenda visafari vya hapa na pale. Watumishi wa kada ambazo zipo likizo kama walimu nawashauri mtulie tu makwenu.

Kwanini nasema hivo, hii likizo ni ndefu kina junya nao hawaendi shule wapo tu wanaangalia katuni nyumbani kwao, ili usiumbuke ewe mtu mzima achana na mbao ya kuzurula kwenye nyumba za watu.

Kina junya hawachelewi kukuumbua ama lah kukukosanisha na familia uliyoitembelea.
Watoto wa bush wabaki huko huko wasiende town kuiga tabia za kina junya.

Muwe na asubuhi njema na niwatakie kina junya likizo njema.

Nawasilisha.

Ha ha ha ha kina Junior noumaa sanaa
 
Kina junya tena kwetu junya bwabwa cjui umemaanisha hivyo[emoji16][emoji16][emoji16]
Hapana mkuu ni hawa kina "dady am going"
Mom chapati haivunjiki
Uncle mpe simu atalia huyo jamani

We mpe tu remote maana anapenda katuni tu, akirudi yeye nyumba nzima tunageuka watoto, hata habari wala mpira baba ake haangalii.
 
Wakuu sina haja ya salam.

Huu ni ushauri tu kwa nyie mnaopenda visafari vya hapa na pale. Watumishi wa kada ambazo zipo likizo kama walimu nawashauri mtulie tu makwenu.

Kwanini nasema hivo, hii likizo ni ndefu kina junya nao hawaendi shule wapo tu wanaangalia katuni nyumbani kwao, ili usiumbuke ewe mtu mzima achana na mbao ya kuzurula kwenye nyumba za watu.

Kina junya hawachelewi kukuumbua ama lah kukukosanisha na familia uliyoitembelea.
Watoto wa bush wabaki huko huko wasiende town kuiga tabia za kina junya.

Muwe na asubuhi njema na niwatakie kina junya likizo njema.

Nawasilisha.
sawa tumekusikia mkuu
 
Wakuu sina haja ya salam.

Huu ni ushauri tu kwa nyie mnaopenda visafari vya hapa na pale. Watumishi wa kada ambazo zipo likizo kama walimu nawashauri mtulie tu makwenu.

Kwanini nasema hivo, hii likizo ni ndefu kina junya nao hawaendi shule wapo tu wanaangalia katuni nyumbani kwao, ili usiumbuke ewe mtu mzima achana na mbao ya kuzurula kwenye nyumba za watu.

Kina junya hawachelewi kukuumbua ama lah kukukosanisha na familia uliyoitembelea.
Watoto wa bush wabaki huko huko wasiende town kuiga tabia za kina junya.

Muwe na asubuhi njema na niwatakie kina junya likizo njema.

Nawasilisha.
Mawazo mengi ya mtu hushabihiana saaana na tabia yake... Mzururaji anajua adha za uzururaji, mwizi vivyo hivyo... Siku njema
 
Back
Top Bottom