Likoeni jahazi langu....mapenzi yamenikolea, nipo kitandani

just leave her alone huyo hakupendi kwa dhati bali kuna vitu vyake anavotaka tofauti na upendo.labda kwake masters ndio anaiona ya muhimu zaidi kuliko upendo,wako wengi tu wazuri kaka zunguka zunguka usihangaike na huyo asiekupenda kutoka moyoni lazima atakuwa na mwingine na sii bureeeee
 

Mkuu I bet either umelewa au unasinzia hapo ulipo.
If none of th above then u ar mentally unfit., P**fu, ndo ushauri gani wa kutoa huo? if u don' av a Que, then find and do nidful kwa yo lyf instead of vomitin thoz smellin' sh**&t,
Umeboa mkuu, tena sana. Mijitu mingine bana🙁:blah::blah::blah::blah::blah:
 

Mkuu pole sana, yaliyokutokea yanakaribia kufanana na mimi kwa mbali. Kuna vitu huwa tunafanya bila kujijua kutokana na mapungufu ya kibin'adam but baadhi ya watu huwa wanashindwa kuelewa. Mkuu komaa naye na uwe unapima majibu yake unapoongea naye. Kama anakupenda utajua tu kadri unavyoongea naye, na ukishagundua then usikate tamaa. Ila ukiona hakuna hata dalili then u'll av to make a very difficulty decision. Mi muhanga mwenzako mkuu., just vuta subira na mpe muda ajirestart, she myt come back 2u if t's ur bahati.
All the best mkuu.., sikiliza huu wimbo YouTube - R.Kelly-When A Woman Loves (w/lyrics)
 

He he he
Safi sana Michelle
Nakuaminia sana kufunda watu ktk mapenzi
 
#

Nadhani ungekuwa na elimu japo kidogo, ungejuwa kuwa huo ushauri niliompa ni wautaalam wa hali ya juu sana, kwa kuwa capacity yako ni ndogo haotouelewa hata kidogo, lakini, nakuomba upitie tena, labda utafunguka kichwa japo kidogo na utapata na mafunzo makubwa sana katika hayo.
 
umeambiwa wazi endelea na maisha yako bado unataka ushauri? wa nini sasa??? sie ndio tukubembelezee huyo dada au??jibu liko wazi sepa utafute mwingine....!!
otherwise endelea kujilegeza,ufe mwenzio aendelee kudunda na midume mingine kwa nafasi!:A S 13:
 
mimi kwa mtazamo wangu has ninahisia kuwa huyo dada hakurithishwa na either muonekano wako or maumbile yako ya kijinsia it was quite differ na matarajio yake au kama mlitumiana picha ukatuma ile ya ku edit basi kaona vitu viwili tofauti cha msingi we tulia utapata mwingine kaka
stay safe.....usijiue kwa ajili ya mapenzi family yako nakupenda mnao jipe moyo
 
ingawa uongo sio mzuri,hasa katika masuala ya mapenzi,ila maybe ulimuongopea ili uonekane upo juu kidogo,lakini inavyoonyesha huyo dada ni kama ametafuta sababu ya kukubwaga,kama anakupenda angekusamehe.na distance relationship ina kazi mno usisikie.the best way,kwa kuwa uko mbali nae,itakusaidia. concentrate na masomo yako,ipo siku utapata wako utampenda na yeye atakupenda.huwezi jua,pengine kuna mwengine anajiuliza atakupata lini.huyo kakukataa pengine ndio heri yako
 

Uwongo ni SUMU!!!!! Pole tu lakini hata ingekuwa mimi nahisi ningekuwa kama huyo dada!!! UWONGO NI SUMU!!! Kwa nini udanganye!!!!!!!!
 

Huu ni ukweli, naukubali asilimia mia moja!!!!
 

Well said Kisukari!
 
Yeye kwa sasa anafanya kazi na mimi nilikua namalizia shahada ya kwanza. Nikawa nimemuambia kuwa nipo kwenye shahada ya pili badala ya kwanza. Huo ndio ulikua uongo wangu.
uongo mwingine bana
 
mahusiano yenu yalianza kwenye mtandao so jinsi alivyokuwa anaku-imagine na alivyokuaona ni vitu viwili tofauti! jinsi ya kukuambia anashindwa, so ametafuta kijisababu cha kudanganywa ili akuache! count her out man n start living ur life pole lakini ndio masiha!
 
Huyo we achana nae, tafuta mwingine!
 
Duh!
Kumbe kuna watu wanapenda kikweli kweli kwenye mtandao.
Pole kaka, nisingependa kukulaumu kwa ulivyomdanganya.
Hofu yake kwake nafikiri anaona hata hivyo unavyomwambia unampenda bado unamdanganya..
Sasa hivi yaruhusu matendo yako yaoneshe kuwa unampenda ila isiwe too much hadi ahisi kama unapretend.
 
Man up dogo........Oooh nampenda sana siwezi sijui bila yeye, ulizaliwa naye huyo???!!!
 
Man up dogo........Oooh nampenda sana siwezi sijui bila yeye, ulizaliwa naye huyo???!!!
nashangaa, achana naye huyo hakupendi, haya mambo yanatokea lakini shituka kaka, thats how women live
 
Yeye kwa sasa anafanya kazi na mimi nilikua namalizia shahada ya kwanza. Nikawa nimemuambia kuwa nipo kwenye shahada ya pili badala ya kwanza. Huo ndio ulikua uongo wangu.

BUT WHY? UONGO WA KIPUUZI ambao usingeweza kukuongezea wala kukupunguzia chochote kwenye uhiasiano wenu.

Cha msingi jifunze na usirudie kosa tena huko mbele ya safari. Huyu dada namsifu kwa kutokubali kuvumilia uongo hata mdogo.Leo umedanganya kitu kidogo hivi, kesho atakuamini vipi na jambo kubwa?
 
huyo lazima aliwahi kuumizwa na wewe hapo umetonesha kidonda..itakuwa ngumu !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…