[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]In fact ungemwambia kubaff!!
Ila upo kwenye banda la kuku la wa tz ,tulia kifaranga umeze chenga vizuriIm not in tz am in kenya..kumbaff
Hii design ni nzuri kuliko ile ya daraja la ziwa victoriaHongera. But the design🤔🤔🤔🤔
Hii design ni nzuri kuliko ile ya daraja la ziwa victoria
Wanasubiri bakuli litembee, fedha za ndani hakuna wakati Tz daraja la kigongo busisi km 3.2 ni fedha zetu wenyeweSasa mbona hamjajenga [emoji23][emoji23][emoji23]
Nzuri kwasababu kuna kuzunguka 3-storey kabla hujapita kwenye daraja? Kwani haiwezekani kupita tu darajani bila kuzunguka bila sababu ya msingi? Ndio maana halijajengwa hadi leo kwasababu hizo spirals ni useless,pointless completely bollocks!Hii design ni nzuri kuliko ile ya daraja la ziwa victoria
Wazee wa kukopi na kupest,tumieni bongo na ongezeni utundu kivyenu vyenu,tujikomboe na ukoloni wa mawazolooks like the sydney bridge