Lil Bow Wow kaacha mziki au mziki umemshinda

Lil Bow Wow kaacha mziki au mziki umemshinda

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
1568127005709.png

Ni msanii aliyewapa wengi matumaini kwamba akiwa mkubwa atakua kakomaa sana kisanaa,

kaanza mziki tangu mtoto mdogo kabisa, ndhani wengi tunaijua ile single yake ya bow wowo wow yippie yo yippe yeh, where ma dogz at, bark with me now,,, akaja kutoa ngoma baada ya ngoma, ila kwa miaka kama mitano hivi kawa kimya sana.

Where this dawg at?
 
Down like a best friend and two homies in the gang
When you cry I wanna feel your pain, no secrets no games
All excitement, nothing plain
Keep you happy, that's my aim
And all you gotta do girl is Let me hold you

Let me hold you... Kaimba na Omarion.

 
Thank you ft Jagged Edge,Puppy Luv etc zilifanya vizuri baada ya kuingiza mapenzi na Ciara ndio akapotea moja kwa moja kwenye game.

 
Back
Top Bottom