Lil Kim na Juma Nature Palikuwa Hapatoshi


hujambo lakini
 
Daaah nechaaaa bonge la zali...bibie alikua anajimwaga tuuuuu...
Kama namuona msanii mmoja mpenda siiiiiiiiiiiiiifa..ingekuwa ndo yeye ....tungejibeba
 

<object style="height: 516px; width: 637px;"> </object>Lil' Kim headed back to the Motherland this weekend. The pint sized rapper performed in front of a sold out crowd of 15,000 people in Tanzania wearing this get up… Are You Feelin’ It? More flicks when you continue

According to her fan club, Kim performed all of her hits and was joined on stage by African superstar “Nature Na Zali”. We’re guessing that’s this fella she was freakin’ it down with… Habari zaidi tembelea bossip website

 
Jukwa lilihitaji urembo zaidi paonekane kama watu wako kwenye stage na siyo disco. Hapo watu walikuwa disco la clouds.
 
mmmh si lil kim mwenye kwapa zuri kwa kweli..............maana kwapa jeusi?! (refer pic namba 2).......nilitegemea kwa mtu aliyefanyiwa kila aina ya cosmetic surgery awe ametumia laser kuondoa nywele kwenye kwapa na kuifanya safi .....kumbe duh kajisahau!

uondoaji wa nywele za kwapa kwa laser nchi za nje ni jambo lisilo gharimu kihivyo, hata watu wa kawaida wanafanya.......kanishangaza kuwa bado anapambana na wembe!
 

Lil Kim is a has been anyway.

Naona hapo studio kama kapata culture shock hivi, anajaribu ku keep a strong face, wabongo hawajui drama, angekuwa NY ingekuwa makelele meengi "we gon git it poppin, we gon git it poppin tnight" sio hapo Clouds wanajifanya watoto wa mjini wameshindwa hata kuchangamsha show, mpaka anaomba kuongea na watu akifikiri watachangamsha show lakini naona watu zii kama wapo msibani, jamaa anaulizwa utakuja kwenye concert anaua morale kabisa.

Namhurumia, angalau picha zinaonyesha ilikuwa half decent.

But it ain't nuttin like Grand Army Plaza, Nostrand or Bed Stuy for sure.

But then again nothing is...
 


basi lenye nywele ndio zuri kaka unapitisha ulimi kwanza
 

Hilo kwapa alolisifia huyu, imebidi nianze kuchungulia vizuri karibu nijisahau nimwambie Lil Kim hebu nyanyua mkona nione vizuri.

Gaijin wembe ndo unafanya kwapa liwe jeusi eeh?
 
Lil Kim is a has been anyway.

is a has been aliyekuja kuvuna pesa ya wabongo ............angalau apate pesa ya kugharamikiwa vacation. kaimba nyimbo za 90's?! maana don' remember the last time she released a hit song, or a decent new song even!
 
friction ya kila siku ndio inasababisha kwapa iwe nyeusi...............sasa kama nywele zake zinaota upesi na analazimika kila siku kupitisha wembe, kunageuka weusi kidogo kidogo.....wengine pia wanageuka weusi kutokana na deodorants wanazotumia.

all in all unapofanya laser unakuwa umeachana na nywele za kwapa, na pia unakuwa hutoi majasho kwenye kwapa kama zamani, kwa hiyo hata hizo deodorants unaweza kupunguza kutumia, na kukuta kwapa nyeupee 🙂
 

Hii habari ya kutotoa jasho hata kama ni "kama zamani" nina mashaka inaweza kuleta medical side effects, kwapa linatoa jasho kwa sababu maalum za kibaiolojia sasa ukiondoa/ kupunguza hii function ina maana unapunguza namna za kutoa uchafu mwilini.
 
Hii habari ya kutotoa jasho hata kama ni "kama zamani" nina mashaka inaweza kuleta medical side effects, kwapa linatoa jasho kwa sababu maalum za kibaiolojia sasa ukiondoa/ kupunguza hii function ina maana unapunguza namna za kutoa uchafu mwilini.
absolutely right. maana ni dhahiri kuna mfumo wa ufanyaji kazi wa mwili utakuw aumeingiliwa utendaji wake. wakati mwingine naona madhara mengi hayakwepeki kwemye huu ulimwengu tuishimo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…