Hii habari ya kutotoa jasho hata kama ni "kama zamani" nina mashaka inaweza kuleta medical side effects, kwapa linatoa jasho kwa sababu maalum za kibaiolojia sasa ukiondoa/ kupunguza hii function ina maana unapunguza namna za kutoa uchafu mwilini.
Lil Kim sio mwenzio my friend net worth yake ni around US$ 18m hajachacha kama unavyofikiriais a has been aliyekuja kuvuna pesa ya wabongo ............angalau apate pesa ya kugharamikiwa vacation. kaimba nyimbo za 90's?! maana don' remember the last time she released a hit song, or a decent new song even!
Lil Kim sio mwenzio my friend net worth yahe ni around US$ 18m hajachacha kama unavyofikiria
friction ya kila siku ndio inasababisha kwapa iwe nyeusi...............sasa kama nywele zake zinaota upesi na analazimika kila siku kupitisha wembe, kunageuka weusi kidogo kidogo.....wengine pia wanageuka weusi kutokana na deodorants wanazotumia.
all in all unapofanya laser unakuwa umeachana na nywele za kwapa, na pia unakuwa hutoi majasho kwenye kwapa kama zamani, kwa hiyo hata hizo deodorants unaweza kupunguza kutumia, na kukuta kwapa nyeupee 🙂
Watu wanavyozidi kuipata hela wengine ndio wanazidi kuwa wabahili na kutaka vyote vya bure wanavyoweza kuvipata.
Warren Buffet ni mmoja kati ya mabilionea watatu wakubwa kabisa lakini mbahili kichizi, anaondoka mpaka na sabuni za hotelini. Itakuwa huyo Lil Kim na "noveau riche".
But then again you may have a point, nouveau riche ndio hao wanaotaka kujionyesha na bling na migari ya thamani. But still all the money in the world cannot buy the star treatment she gets.
Akiwa NY ndiyo kwanza Wendy Williams ataanza kumsaga boob jobs zake pamoja na hiyo botched nose job, anaona afadhali akienda bongo anakuwa novelty.
Wewe unaowaita wenzio nouveau riche wewe una nini kazi kushabikia mnatajiri kila mtu need to be treated with respect wether hana kitu, he or she avarage, richer or richest...
Lil Kim is a has been...to stay relevant she had to fire shots at Nicki Minaj.....I love bitchie beefs and chick fights
Alicia Keys ananitoa ulimi nje haki ya nani mtoto kaumbika yule kwa mtazamo wangu,je kwapa la Alicia Keys mnalionaje wajameni?
Akiwa NY ndiyo kwanza Wendy Williams ataanza kumsaga boob jobs zake pamoja na hiyo botched nose job, anaona afadhali akienda bongo anakuwa novelty.
Alaaah kumbe ilikuwa kazi yako??kazi ya ukaguzi wa kwapa za maselebu nimeacha siku hizi :confused2:
Kwani Lil Kim Mchagga kweli!!!??? Mbona miguu mibaya hivyo?