Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Ndio, nazungumzia lile Jambo,
Limekuwa agenda kuu Misa ya Pasaka..
Wazazi wapaswa kuwajibika kulea maadili ya watoto wao.
Hili jambo wengi tunalivamia lakini ukwel ni kwamba kwa Tanzania mkakati ulianza zamani sana..
Angalia hapa..
1. Kabla ya mwaka 2005 kulikuwa na fursa Sawa kwa wote.... aka break the read tape
2.Miaka ya 2005 kuja had 2015 ikaja Wanawake na maendeleo...aka women empowerment
3. 2016 kuendelea iakaja Haki Sawa kwa wote, aka role play.., wanaume wakaanza kushona sare, kwenda clinics, kupewa likizo za uzaz nk...
4. 2020 kuendelea ni public promotion and advocacy....
Kuna mkuu mmoja huko North kafungia Dagaa mmoja kujihusisha na jambo hilo, asilojua fedha ni nyingi sana na wanufaika ni wengi mno akiwemo yeye.
Baba wa Mababa wa jambo hilo wapo Dar es salaam, conscience inakataa lakini mwili ni dhaifu.... muda wi mrefu vigezo vitawekwa kila mahal Ili tupate funding.
Kuua tunu za familia na kudidimiza nguvu za wanaume makusudi.
Leo Kanisa limestuka... lile jambo limeanza kuwa agenda kwenye nyumba za ibada, ni agenda kuu Misa ya Pasaka.
Hata kumkataa shetani na mambo yake yote imekuwa ngumu.... tunamkataa Lakin mambo yake tunafanya.... huo ndio mtego.
Mtesi wetu ana nguvu sana, tusali mambo ni magumu mno.
Limekuwa agenda kuu Misa ya Pasaka..
Wazazi wapaswa kuwajibika kulea maadili ya watoto wao.
Hili jambo wengi tunalivamia lakini ukwel ni kwamba kwa Tanzania mkakati ulianza zamani sana..
Angalia hapa..
1. Kabla ya mwaka 2005 kulikuwa na fursa Sawa kwa wote.... aka break the read tape
2.Miaka ya 2005 kuja had 2015 ikaja Wanawake na maendeleo...aka women empowerment
3. 2016 kuendelea iakaja Haki Sawa kwa wote, aka role play.., wanaume wakaanza kushona sare, kwenda clinics, kupewa likizo za uzaz nk...
4. 2020 kuendelea ni public promotion and advocacy....
Kuna mkuu mmoja huko North kafungia Dagaa mmoja kujihusisha na jambo hilo, asilojua fedha ni nyingi sana na wanufaika ni wengi mno akiwemo yeye.
Baba wa Mababa wa jambo hilo wapo Dar es salaam, conscience inakataa lakini mwili ni dhaifu.... muda wi mrefu vigezo vitawekwa kila mahal Ili tupate funding.
Kuua tunu za familia na kudidimiza nguvu za wanaume makusudi.
Leo Kanisa limestuka... lile jambo limeanza kuwa agenda kwenye nyumba za ibada, ni agenda kuu Misa ya Pasaka.
Hata kumkataa shetani na mambo yake yote imekuwa ngumu.... tunamkataa Lakin mambo yake tunafanya.... huo ndio mtego.
Mtesi wetu ana nguvu sana, tusali mambo ni magumu mno.