Lile Jukwaa la wachumi lilianzishwa mbona kimya sana

MPadmire

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
3,957
Reaction score
3,245
Katika miaka 2 au 3 iliyopita...Kulianzishwa jukwaa la wachumi..Mh Mpango alizindua

Kwa nini hawajawahi kukutana na kujadili changamoto au mjadala kuhusu uchumi?

Au wana hofu?
 
Hakuna uchumi unajadiliwa na serikali hii maana yenyewe ina majibu yake. Hao wachumi walienda wakakuta ni jukwaa la kumsifu jiwe wakaamua kuendelea na shughuli zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…