Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana maisha marefuNimeona ndugu zake wanalia sn.Wamkanye mtoto wao,na wamfunde suala la kuumiza watu na kuwapa vilema.Kwanza akitoka aombe radhi na akome kutafuta vyeo kwa kuumiza watu.
Kama wanafanya mchongo atoke,basi saa hii huku uraiani atakutana na "asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu"
Selo madeni mengi watu hudaiwa usikuHalafu kwanini limtokee kisogoni!?
Kwani usiku wa Jana kulikuwa na vurugu za kugombea nini huko selo?.
Isije ikawa alidaiwa soda ya watu aliyokunywa mchana.,
Akakataa kulipa ,,
[emoji3][emoji3]
Swali fikirishi Sana.
Selo madeni mengi watu hudaiwa usiku .
Ni leo lilipoachiwa huru
Ndy muda wao wa kudai madeni ya mchana.Selo madeni mengi watu hudaiwa usiku
HahahahaNdy muda wao wa kudai madeni ya mchana.
Utakunywa soda ya mtu mchana, ikifika usiku atakwambiya anasikia kiu anataka soda yake,
Hapo ndy nundu pengine lilipoanzia[emoji3][emoji3]
Limekaa pabaya mno.. Usawa wa medulla
Itakuwa walimshindilia nakozi moja matata sana alipokuwa mahabusu.Wewe unadhani kushinda rufaa ya kifungo Cha miaka 30 ni jambo Dogo.....lazima kichwa kivimbe.....