Lile pazia la jana lingekuwepo leo hali ingekuwaje?

Nyinyi ndiyo aina ile ya mashabiki ambao Rage aliwaita mbumbumbu.
Ila nyie luc aliwaita mbwaaaa tena kokoooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na Sope akajazia wenye akili hapo salamander n wawili tyuuh.

Wee haumoooo, wala hatushangaiiiii. Kombe LA losers linawatia kiwewe je ingekua CL?? poleeeeeeeee.
 
Akikujibu nitag hapaaa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeambiwa mm ni kilaza na watoto wangu watakua vilaza zaidi wakirithi akili zangu. Kiukweli sina ushabiki wa mpira kwahiyo hata ratiba za logi hizo sijui nani anacheza nini nasikia tu simba kacheza yanga kacheza sasa nimeuliza najibiwa vibaya kama vile najua na ninauliza makusudiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ watu wanahasira dah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] achana nao bhanaaa wee.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ bahati mbaya mimi si mshabiki ila alisikika mtu mmoja akiwaita nyie nyani au mbwaaaaa koko na mwingine akasisika akisema mmejaa vinyesiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bahati mbaya mimi si mshabiki ila alisikika mtu mmoja akiwaita nyie nyani au mbwaaaaa koko na mwingine akasisika akisema mmejaa vinyesi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…