Lile zimwi la kuota ndege zikianguka limenikamata!

Lile zimwi la kuota ndege zikianguka limenikamata!

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Nikiwa ktk lindi la usingizi mwanana ambao haukuwa na tone la dosari huku nikiwa kungwi nilietopea ktk aina ya ndoto zakijasusi!,ambazo uhusika wangu Mimi huwa ni sterling nisiepigwa na ikitokea nimepigwa basi nasitisha!..

Ktk hali ya sintofahamu leo kichwa changu kimebadili mkondo wa ndoto!,leo nimetumbukia ktk lile joho nililoliona watu kadhaa humu ndani wakilisimulia kama zimwi la ndege kuanguka!.

"Ni ghafla from no where nilikuwa ktk mazingira ninayoyafahamu ikiwa ni mchana tena ktk mkoa ambao ni chaguo langu namba moja!, nipo na baskeli yangu mara ghafla naangalia hewani naiona ndege kubwa ya abiria ikienda mlama!,mlio wake uliashiria hali ya hatari ambapo ndani ya muda huo ilionyesha dhahiri si abiria Wala pilot wote walijawa na taharuki!.

Hofu ilinitanda sana nikajikuta nasimama na baskeli yangu nakuanza kufatilia tukio lile lakuogofya!,ndege iliendelea kutapatapa huku ikijaribu kutokomea machoni pangu lkn kabla haijapotea kwa asilimia zote nikaona jambo jengine lakushangaza!.

Ndege ileile ilibinuka yani matairi yakaelekea juu hata pia ikabadili uelekeo ikaanza kurudi ilipotokea! Ikiwa inatapatapa ikawa inashuka huku ikienda mbali nami! Hapo hofu ilikuwa imenitanda huku nikiimagine wanachopitia watu waliokuwa ndani yake!.. punde ikapotea machoni pangu nakuanguka chini! Nilisikia kelele tu nakuona moshi!...!

Nikijua yameisha kumbe hayajaisha ndege nyengine ndogo nayo nikaiona ikiwa imebinuka kama Ile kubwa!,ikienda mlama kufuata ilipoangukia Ile kubwa nayo ikaanguka pia! Japo sikujua kama iliangukia palepale ilipoanguka Ile kubwa!.

Nikiwa ktk huzuni na tafrani iliyojawa kivumbi na jasho,punde mbele yangu nikaona kundi la wamama wakiwa na watoto wao wakitembea huku wakipiga stori hawana hiyana na Wala hisana! Ni kama walikuwa hawajui hatari yoyote Ile iliyotokea!.. walikuwa wakitembea nakuja mbele yangu na ndipo hapohapo tukio jengine likatokea!....

Nikaanza kusikia nakuona milipuko toka uelekeo wa airport ya mkoa huo!.. Hali ilikuwa tafrani nikaona bora niikimbize nafsi yangu isije kupokwa na zimwi hili la ndege na milipuko!.

Na ndipo hapohapo nikadamka kutoka usingizini huku nikishangazwa na aina hii mpya ya uotaji wangu na ndipo nikakumbuka visa viwili vilivyoletwa humu ndani ambavyo naona vinafanana kabisa na hii ndoto yangu!!! Ndo Sasa najiuliza hili zimwi limenipata namimi au ni kiherehere changu tu!!!😅
 
Nikiwa ktk lindi la usingizi mwanana ambao haukuwa na tone la dosari huku nikiwa kungwi nilietopea ktk aina ya ndoto zakijasusi!,ambazo uhusika wangu Mimi huwa ni sterling nisiepigwa na ikitokea nimepigwa basi nasitisha!..

Ktk hali ya sintofahamu leo kichwa changu kimebadili mkondo wa ndoto!,leo nimetumbukia ktk lile joho nililoliona watu kadhaa humu ndani wakilisimulia kama zimwi la ndege kuanguka!.

"Ni ghafla from no where nilikuwa ktk mazingira ninayoyafahamu ikiwa ni mchana tena ktk mkoa ambao ni chaguo langu namba moja!, nipo na baskeli yangu mara ghafla naangalia hewani naiona ndege kubwa ya abiria ikienda mlama!,mlio wake uliashiria hali ya hatari ambapo ndani ya muda huo ilionyesha dhahiri si abiria Wala pilot wote walijawa na taharuki!.

Hofu ilinitanda sana nikajikuta nasimama na baskeli yangu nakuanza kufatilia tukio lile lakuogofya!,ndege iliendelea kutapatapa huku ikijaribu kutokomea machoni pangu lkn kabla haijapotea kwa asilimia zote nikaona jambo jengine lakushangaza!.

Ndege ileile ilibinuka yani matairi yakaelekea juu hata pia ikabadili uelekeo ikaanza kurudi ilipotokea! Ikiwa inatapatapa ikawa inashuka huku ikienda mbali nami! Hapo hofu ilikuwa imenitanda huku nikiimagine wanachopitia watu waliokuwa ndani yake!.. punde ikapotea machoni pangu nakuanguka chini! Nilisikia kelele tu nakuona moshi!...!

Nikijua yameisha kumbe hayajaisha ndege nyengine ndogo nayo nikaiona ikiwa imebinuka kama Ile kubwa!,ikienda mlama kufuata ilipoangukia Ile kubwa nayo ikaanguka pia! Japo sikujua kama iliangukia palepale ilipoanguka Ile kubwa!.

Nikiwa ktk huzuni na tafrani iliyojawa kivumbi na jasho,punde mbele yangu nikaona kundi la wamama wakiwa na watoto wao wakitembea huku wakipiga stori hawana hiyana na Wala hisana! Ni kama walikuwa hawajui hatari yoyote Ile iliyotokea!.. walikuwa wakitembea nakuja mbele yangu na ndipo hapohapo tukio jengine likatokea!....

Nikaanza kusikia nakuona milipuko toka uelekeo wa airport wa mkoa huo!.. Hali ilikuwa tafrani nikaona bora niikimbize nafsi yangu isije kupokwa na zimwi hili la ndege na milipuko!.

Na ndipo hapohapo nikadamka kutoka usingizini huku nikishangazwa na aina hii mpya ya uotaji wangu na ndipo nikakumbuka visa viwili vilivyoletwa humu ndani ambavyo naona vinafanana kabisa na hii ndoto yangu!!! Ndo Sasa najiuliza hili zimwi limenipata namimi au ni kiherehere changu tu!!!😅
Itakuwa uliangalia muvi mchana, usiku ukiwa usingizini, ukawa stering😁
 
Nikiwa ktk lindi la usingizi mwanana ambao haukuwa na tone la dosari huku nikiwa kungwi nilietopea ktk aina ya ndoto zakijasusi!,ambazo uhusika wangu Mimi huwa ni sterling nisiepigwa na ikitokea nimepigwa basi nasitisha!..

Ktk hali ya sintofahamu leo kichwa changu kimebadili mkondo wa ndoto!,leo nimetumbukia ktk lile joho nililoliona watu kadhaa humu ndani wakilisimulia kama zimwi la ndege kuanguka!.

"Ni ghafla from no where nilikuwa ktk mazingira ninayoyafahamu ikiwa ni mchana tena ktk mkoa ambao ni chaguo langu namba moja!, nipo na baskeli yangu mara ghafla naangalia hewani naiona ndege kubwa ya abiria ikienda mlama!,mlio wake uliashiria hali ya hatari ambapo ndani ya muda huo ilionyesha dhahiri si abiria Wala pilot wote walijawa na taharuki!.

Hofu ilinitanda sana nikajikuta nasimama na baskeli yangu nakuanza kufatilia tukio lile lakuogofya!,ndege iliendelea kutapatapa huku ikijaribu kutokomea machoni pangu lkn kabla haijapotea kwa asilimia zote nikaona jambo jengine lakushangaza!.

Ndege ileile ilibinuka yani matairi yakaelekea juu hata pia ikabadili uelekeo ikaanza kurudi ilipotokea! Ikiwa inatapatapa ikawa inashuka huku ikienda mbali nami! Hapo hofu ilikuwa imenitanda huku nikiimagine wanachopitia watu waliokuwa ndani yake!.. punde ikapotea machoni pangu nakuanguka chini! Nilisikia kelele tu nakuona moshi!...!

Nikijua yameisha kumbe hayajaisha ndege nyengine ndogo nayo nikaiona ikiwa imebinuka kama Ile kubwa!,ikienda mlama kufuata ilipoangukia Ile kubwa nayo ikaanguka pia! Japo sikujua kama iliangukia palepale ilipoanguka Ile kubwa!.

Nikiwa ktk huzuni na tafrani iliyojawa kivumbi na jasho,punde mbele yangu nikaona kundi la wamama wakiwa na watoto wao wakitembea huku wakipiga stori hawana hiyana na Wala hisana! Ni kama walikuwa hawajui hatari yoyote Ile iliyotokea!.. walikuwa wakitembea nakuja mbele yangu na ndipo hapohapo tukio jengine likatokea!....

Nikaanza kusikia nakuona milipuko toka uelekeo wa airport ya mkoa huo!.. Hali ilikuwa tafrani nikaona bora niikimbize nafsi yangu isije kupokwa na zimwi hili la ndege na milipuko!.

Na ndipo hapohapo nikadamka kutoka usingizini huku nikishangazwa na aina hii mpya ya uotaji wangu na ndipo nikakumbuka visa viwili vilivyoletwa humu ndani ambavyo naona vinafanana kabisa na hii ndoto yangu!!! Ndo Sasa najiuliza hili zimwi limenipata namimi au ni kiherehere changu tu!!!😅
Modereta huku akili zao zinanishangazaga Sana


Thread yako hawafuti sijui sababu ina maelezo marefu

Me niliandika nimeota precision air imedondoka mkoa flani ikafutuliwa mbali
 
Hakuna ndege yoyote itakayoanguka siku za karibuni. Nature haiwezi kuwapa hiyo satisfaction ili mjisifu kwamba mliota hilo tukio before.

Ndege itaanguka siku ambayo hakuna yoyote ameota.
 
Nikiwa ktk lindi la usingizi mwanana ambao haukuwa na tone la dosari huku nikiwa kungwi nilietopea ktk aina ya ndoto zakijasusi!,ambazo uhusika wangu Mimi huwa ni sterling nisiepigwa na ikitokea nimepigwa basi nasitisha!..

Ktk hali ya sintofahamu leo kichwa changu kimebadili mkondo wa ndoto!,leo nimetumbukia ktk lile joho nililoliona watu kadhaa humu ndani wakilisimulia kama zimwi la ndege kuanguka!.

"Ni ghafla from no where nilikuwa ktk mazingira ninayoyafahamu ikiwa ni mchana tena ktk mkoa ambao ni chaguo langu namba moja!, nipo na baskeli yangu mara ghafla naangalia hewani naiona ndege kubwa ya abiria ikienda mlama!,mlio wake uliashiria hali ya hatari ambapo ndani ya muda huo ilionyesha dhahiri si abiria Wala pilot wote walijawa na taharuki!.

Hofu ilinitanda sana nikajikuta nasimama na baskeli yangu nakuanza kufatilia tukio lile lakuogofya!,ndege iliendelea kutapatapa huku ikijaribu kutokomea machoni pangu lkn kabla haijapotea kwa asilimia zote nikaona jambo jengine lakushangaza!.

Ndege ileile ilibinuka yani matairi yakaelekea juu hata pia ikabadili uelekeo ikaanza kurudi ilipotokea! Ikiwa inatapatapa ikawa inashuka huku ikienda mbali nami! Hapo hofu ilikuwa imenitanda huku nikiimagine wanachopitia watu waliokuwa ndani yake!.. punde ikapotea machoni pangu nakuanguka chini! Nilisikia kelele tu nakuona moshi!...!

Nikijua yameisha kumbe hayajaisha ndege nyengine ndogo nayo nikaiona ikiwa imebinuka kama Ile kubwa!,ikienda mlama kufuata ilipoangukia Ile kubwa nayo ikaanguka pia! Japo sikujua kama iliangukia palepale ilipoanguka Ile kubwa!.

Nikiwa ktk huzuni na tafrani iliyojawa kivumbi na jasho,punde mbele yangu nikaona kundi la wamama wakiwa na watoto wao wakitembea huku wakipiga stori hawana hiyana na Wala hisana! Ni kama walikuwa hawajui hatari yoyote Ile iliyotokea!.. walikuwa wakitembea nakuja mbele yangu na ndipo hapohapo tukio jengine likatokea!....

Nikaanza kusikia nakuona milipuko toka uelekeo wa airport ya mkoa huo!.. Hali ilikuwa tafrani nikaona bora niikimbize nafsi yangu isije kupokwa na zimwi hili la ndege na milipuko!.

Na ndipo hapohapo nikadamka kutoka usingizini huku nikishangazwa na aina hii mpya ya uotaji wangu na ndipo nikakumbuka visa viwili vilivyoletwa humu ndani ambavyo naona vinafanana kabisa na hii ndoto yangu!!! Ndo Sasa najiuliza hili zimwi limenipata namimi au ni kiherehere changu tu!!![emoji28]
Jana ulikula ukashiba lakini?
f19d2ed025cd89317ded6ae4602c478a.jpg
 
Nikaanza kusikia nakuona milipuko toka uelekeo wa airport ya mkoa huo!.. Hali ilikuwa tafrani nikaona bora niikimbize nafsi yangu isije kupokwa na zimwi hili la ndege na milipuko!.
fe9a2d9dda4f2e1540e8e2bfe78b880c.jpg
 
nyie mnaoota nakuja kusimilia humu wote vichaa tu.mbona Mimi ndege zinazo anguka naziotasana😁

ila nachukulia kawaida sababu siku nikila ugali au wali usiku nachakula chochote kigumu lazima niote ndoto zakusumbua akili yangu kama kuona ndege inaanguka kuota milipuko sehemu ninazo zijua😁

kiufupi nikila mavyakula magumu gum kama hayo mnayo kula nyinyi ndio Hali hio inatokea.

Sasa hivi mavyakula magumu nakula mchana tuu usiku matunda na vinywaji laini sioti ujinga nikifanya hivyo.

msitusumbue namandoto yenu ☹️😕☹️😕☹️😕

msifakamie maugali na mapilau usiku mtatusumbua na mandoto yenu.
 
Hakuna ndege yoyote itakayoanguka siku za karibuni. Nature haiwezi kuwapa hiyo satisfaction ili mjisifu kwamba mliota hilo tukio before.

Ndege itaanguka siku ambayo hakuna yoyote ameota.
Ahsante kaka..😅
 
nyie mnaoota nakuja kusimilia humu wote vichaa tu.mbona Mimi ndege zinazo anguka naziotasana😁

ila nachukulia kawaida sababu siku nikila ugali au wali usiku nachakula chochote kigumu lazima niote ndoto zakusumbua akili yangu kama kuona ndege inaanguka kuota milipuko sehemu ninazo zijua😁

kiufupi nikila mavyakula magumu gum kama hayo mnayo kula nyinyi ndio Hali hio inatokea.

Sasa hivi mavyakula magumu nakula mchana tuu usiku matunda na vinywaji laini sioti ujinga nikifanya hivyo.

msitusumbue namandoto yenu ☹️😕☹️😕☹️😕

msifakamie maugali na mapilau usiku mtatusumbua na mandoto yenu.
Dah! Nimekoma..😅
 
Nikiwa ktk lindi la usingizi mwanana ambao haukuwa na tone la dosari huku nikiwa kungwi nilietopea ktk aina ya ndoto zakijasusi!,ambazo uhusika wangu Mimi huwa ni sterling nisiepigwa na ikitokea nimepigwa basi nasitisha!..

Ktk hali ya sintofahamu leo kichwa changu kimebadili mkondo wa ndoto!,leo nimetumbukia ktk lile joho nililoliona watu kadhaa humu ndani wakilisimulia kama zimwi la ndege kuanguka!.

"Ni ghafla from no where nilikuwa ktk mazingira ninayoyafahamu ikiwa ni mchana tena ktk mkoa ambao ni chaguo langu namba moja!, nipo na baskeli yangu mara ghafla naangalia hewani naiona ndege kubwa ya abiria ikienda mlama!,mlio wake uliashiria hali ya hatari ambapo ndani ya muda huo ilionyesha dhahiri si abiria Wala pilot wote walijawa na taharuki!.

Hofu ilinitanda sana nikajikuta nasimama na baskeli yangu nakuanza kufatilia tukio lile lakuogofya!,ndege iliendelea kutapatapa huku ikijaribu kutokomea machoni pangu lkn kabla haijapotea kwa asilimia zote nikaona jambo jengine lakushangaza!.

Ndege ileile ilibinuka yani matairi yakaelekea juu hata pia ikabadili uelekeo ikaanza kurudi ilipotokea! Ikiwa inatapatapa ikawa inashuka huku ikienda mbali nami! Hapo hofu ilikuwa imenitanda huku nikiimagine wanachopitia watu waliokuwa ndani yake!.. punde ikapotea machoni pangu nakuanguka chini! Nilisikia kelele tu nakuona moshi!...!

Nikijua yameisha kumbe hayajaisha ndege nyengine ndogo nayo nikaiona ikiwa imebinuka kama Ile kubwa!,ikienda mlama kufuata ilipoangukia Ile kubwa nayo ikaanguka pia! Japo sikujua kama iliangukia palepale ilipoanguka Ile kubwa!.

Nikiwa ktk huzuni na tafrani iliyojawa kivumbi na jasho,punde mbele yangu nikaona kundi la wamama wakiwa na watoto wao wakitembea huku wakipiga stori hawana hiyana na Wala hisana! Ni kama walikuwa hawajui hatari yoyote Ile iliyotokea!.. walikuwa wakitembea nakuja mbele yangu na ndipo hapohapo tukio jengine likatokea!....

Nikaanza kusikia nakuona milipuko toka uelekeo wa airport ya mkoa huo!.. Hali ilikuwa tafrani nikaona bora niikimbize nafsi yangu isije kupokwa na zimwi hili la ndege na milipuko!.

Na ndipo hapohapo nikadamka kutoka usingizini huku nikishangazwa na aina hii mpya ya uotaji wangu na ndipo nikakumbuka visa viwili vilivyoletwa humu ndani ambavyo naona vinafanana kabisa na hii ndoto yangu!!! Ndo Sasa najiuliza hili zimwi limenipata namimi au ni kiherehere changu tu!!!😅
Jiandae kwa msiba wako hii inaitwa Bad Omen.
 
Nikiwa ktk lindi la usingizi mwanana ambao haukuwa na tone la dosari huku nikiwa kungwi nilietopea ktk aina ya ndoto zakijasusi!,ambazo uhusika wangu Mimi huwa ni sterling nisiepigwa na ikitokea nimepigwa basi nasitisha!..

Ktk hali ya sintofahamu leo kichwa changu kimebadili mkondo wa ndoto!,leo nimetumbukia ktk lile joho nililoliona watu kadhaa humu ndani wakilisimulia kama zimwi la ndege kuanguka!.

"Ni ghafla from no where nilikuwa ktk mazingira ninayoyafahamu ikiwa ni mchana tena ktk mkoa ambao ni chaguo langu namba moja!, nipo na baskeli yangu mara ghafla naangalia hewani naiona ndege kubwa ya abiria ikienda mlama!,mlio wake uliashiria hali ya hatari ambapo ndani ya muda huo ilionyesha dhahiri si abiria Wala pilot wote walijawa na taharuki!.

Hofu ilinitanda sana nikajikuta nasimama na baskeli yangu nakuanza kufatilia tukio lile lakuogofya!,ndege iliendelea kutapatapa huku ikijaribu kutokomea machoni pangu lkn kabla haijapotea kwa asilimia zote nikaona jambo jengine lakushangaza!.

Ndege ileile ilibinuka yani matairi yakaelekea juu hata pia ikabadili uelekeo ikaanza kurudi ilipotokea! Ikiwa inatapatapa ikawa inashuka huku ikienda mbali nami! Hapo hofu ilikuwa imenitanda huku nikiimagine wanachopitia watu waliokuwa ndani yake!.. punde ikapotea machoni pangu nakuanguka chini! Nilisikia kelele tu nakuona moshi!...!

Nikijua yameisha kumbe hayajaisha ndege nyengine ndogo nayo nikaiona ikiwa imebinuka kama Ile kubwa!,ikienda mlama kufuata ilipoangukia Ile kubwa nayo ikaanguka pia! Japo sikujua kama iliangukia palepale ilipoanguka Ile kubwa!.

Nikiwa ktk huzuni na tafrani iliyojawa kivumbi na jasho,punde mbele yangu nikaona kundi la wamama wakiwa na watoto wao wakitembea huku wakipiga stori hawana hiyana na Wala hisana! Ni kama walikuwa hawajui hatari yoyote Ile iliyotokea!.. walikuwa wakitembea nakuja mbele yangu na ndipo hapohapo tukio jengine likatokea!....

Nikaanza kusikia nakuona milipuko toka uelekeo wa airport ya mkoa huo!.. Hali ilikuwa tafrani nikaona bora niikimbize nafsi yangu isije kupokwa na zimwi hili la ndege na milipuko!.

Na ndipo hapohapo nikadamka kutoka usingizini huku nikishangazwa na aina hii mpya ya uotaji wangu na ndipo nikakumbuka visa viwili vilivyoletwa humu ndani ambavyo naona vinafanana kabisa na hii ndoto yangu!!! Ndo Sasa najiuliza hili zimwi limenipata namimi au ni kiherehere changu tu!!!😅
Unalifahamu jina linaloitwa YESU? Lina-solve hii kitu in just a matter of microseconds. Naongea from experience, na siyo stori za kuelezwa
 
Ndoto rahisi hii, kwanza nianze kwa kukuambia kuwa ndoto hii haihusu nchi kwa ujumla sababu wanaoota ndoto za nchi kwa ujumla ni Rais na watu wenye VITI (nafasi ya kimamlaka katika ulimwengu wa roho) ambao level ya viti vyao vimefikia ngazi ya taifa na watu hawa ni wachache kwa hapa nchini na wewe haupo. Sasa nakupa ujumbe wake ila sitakutafsiria. Unapewa ujumbe kuwa uchumi wa nchi upo kwenye ushindani mkubwa sana na wewe hauonyeshi juhudi za kuupambania, mwisho unaonywa uchumi huo utayumba na kusababisha uchumi wako pia kupitia katika wakati mgumu sana usipokuwa makini na watu wengine pia watahadhiriwa.
 
Back
Top Bottom