SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Katika kikao cha Bunge kinachoendelea Dodoma kuna Mbunge mmoja alizungumzia tetesi kuwa Serikali imeamua kuanzia mwaka huu (2011) mtihani wa Hisabati wa Darasa la Saba utakuwa wa Multiple choice lakini Waziri wa Elimu na Naibu wake walipinga. Lakini ukweli ni kuwa hivyo ndiyo ilivyoamuliwa na ndivyo itakavyokuwa kwani watoto waliofanya mtihani wa Moko mwezi huu wa saba katika somo la Hisabati majibu yake yalikuwa ni Multiple Choice. Na matokeo ya uamuzi huu mbovu yameanza kujitokeza kwani katika shule moja kuna wanafunzi ni dhaifu sana katika Hisabati lakini wamepata maksi ambazo zimewashangaza hata walimu wao.
Chama cha hovyo huunda serikali ya hovyo na matokeo yake viongozi wake wa hovyo hufanya maamuzi ya hovyo.
Tangu lini hisabati ikageuka kuwa jiografia ama historia? mtihani wa hisabati kuwa "multiple choice" ni uwendawazimu.
Hawajui maana ya hisabati hao vilaza wa wizara ya elimu nini??
Tatizo siyo huo uamuzi, tatizo ni utunzi wa hayo maswali yawezekana ni hovyo!! Ndo tatizo la kuiga kila kitu bila kukaa chini na kuhusisha watu walipoteza muda wao mwingi kwenye maisha yao wakisomea haya mambo ni laana tu! Huwezi ukasomea uhandisi wa umeme then ufundishe udaktari wa meno au watoto. Na ndiyo tuko hivyo wabongo.
Wakatae wasikatae nchi hii inahitaji emergency state, wataalamu, wanasiasa wakae chini waongee kuundwe Taasisi moja nyeti yenye kuainisha mwelekeo wa taifa ambao hata itokee nini lazima ufuatwe. Vinginevyo, ni upuuzi tu.
<br />Hahahha nchi hii haishi maigizo .<br />
<br />
Baadae watakuja na takwimu kuwa idadi ya wanafunzi kufaulu imeongezeka. Kwa elimu ya sasa usishanage kuna watoto wanafika darasa la tatu hawajui kusoma au kuandika.
Hapo ni kuwapa watoto mbinu za kuangalizia tu kwa jirani na kuwapa uwezo wa ziada kutambua kama jibu ni A au B au C kwisha mchezo. Mmezidi kuwalaumu kuwa watoto wanafeli wameamua kutumia njia ya mkato kufaulisha. Mbona haya JK hajui hesabu na aliwahi kukiri kuwa zinamgonga kikwelikweli sasa hao watendaji wake watafurahia hesabu. Kamwe nchi hii haitakuja compete kielimu kwa njia hizi za mkato
<br />Katika kikao cha Bunge kinachoendelea Dodoma kuna Mbunge mmoja alizungumzia tetesi kuwa Serikali imeamua kuanzia mwaka huu (2011) mtihani wa Hisabati wa Darasa la Saba utakuwa wa Multiple choice lakini Waziri wa Elimu na Naibu wake walipinga. Lakini ukweli ni kuwa hivyo ndiyo ilivyoamuliwa na ndivyo itakavyokuwa kwani watoto waliofanya mtihani wa Moko mwezi huu wa saba katika somo la Hisabati majibu yake yalikuwa ni Multiple Choice. Na matokeo ya uamuzi huu mbovu yameanza kujitokeza kwani katika shule moja kuna wanafunzi ni dhaifu sana katika Hisabati lakini wamepata maksi ambazo zimewashangaza hata walimu wao.
<br />Chama cha hovyo huunda serikali ya hovyo na matokeo yake viongozi wake wa hovyo hufanya maamuzi ya hovyo.<br />
<br />
Tangu lini hisabati ikageuka kuwa jiografia ama historia? mtihani wa hisabati kuwa "multiple choice" ni uwendawazimu.<br />
<br />
Hawajui maana ya hisabati hao vilaza wa wizara ya elimu nini??
<br />Katika kikao cha Bunge kinachoendelea Dodoma kuna Mbunge mmoja alizungumzia tetesi kuwa Serikali imeamua kuanzia mwaka huu (2011) mtihani wa Hisabati wa Darasa la Saba utakuwa wa Multiple choice lakini Waziri wa Elimu na Naibu wake walipinga. Lakini ukweli ni kuwa hivyo ndiyo ilivyoamuliwa na ndivyo itakavyokuwa kwani watoto waliofanya mtihani wa Moko mwezi huu wa saba katika somo la Hisabati majibu yake yalikuwa ni Multiple Choice. Na matokeo ya uamuzi huu mbovu yameanza kujitokeza kwani katika shule moja kuna wanafunzi ni dhaifu sana katika Hisabati lakini wamepata maksi ambazo zimewashangaza hata walimu wao.
<br />Katika kikao cha Bunge kinachoendelea Dodoma kuna Mbunge mmoja alizungumzia tetesi kuwa Serikali imeamua kuanzia mwaka huu (2011) mtihani wa Hisabati wa Darasa la Saba utakuwa wa Multiple choice lakini Waziri wa Elimu na Naibu wake walipinga. Lakini ukweli ni kuwa hivyo ndiyo ilivyoamuliwa na ndivyo itakavyokuwa kwani watoto waliofanya mtihani wa Moko mwezi huu wa saba katika somo la Hisabati majibu yake yalikuwa ni Multiple Choice. Na matokeo ya uamuzi huu mbovu yameanza kujitokeza kwani katika shule moja kuna wanafunzi ni dhaifu sana katika Hisabati lakini wamepata maksi ambazo zimewashangaza hata walimu wao.