Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Account za bank ninazo ila CRDB ctak jamaa ni wez bora ata NMB
Ulijiunga na internet banking jamaa wanakata tu mantainance fee kibao ukiupload pesa online wanakata ukiingiza wanakata ukilogin kweny account wanakata ukitoka pia wanakata ukienda ATM wanakata ukichek sakio kwenye SIMbanking wanakata CRDB hawana cha bure kila kitu ni kukata tuMwaka jana nimeifunga account yangu ya CRDB, jamaa wezi sana, wana makato ambayo hayaeleweki yanatokea wapi, nimefungua bank ya FNB ya wasaouth Africa, tunaenda vizuri
Yaan wabongo bwana nimeuliza kimit ya tigopesa ni sh ngap mshaanza kunifundisha wapi niweke pesaSasa kaweka huko NMB. Kumbe jibu unalo.
Yaan wabongo bwana nimeuliza kimit ya tigopesa ni sh ngap mshaanza kunifundisha wapi niweke pesa
Kwa siku million 5 not clear io itakuwa ni transaction limit mm namanisha kile kiac kinachokaa kwenye account ni sh ngap !?Kwa siku ni 5,000,000 unataka ujibiwe na nani uelewe
Kwa siku million 5 not clear io itakuwa ni transaction limit mm namanisha kile kiac kinachokaa kwenye account ni sh ngap !?