Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Is this personal princess?Haya avae majani sasa.
Ukahaba tu umemjaa
Atulize mtumbo huo ,akishusha aendelee na umala.ya kazi kuwajaza watoto waliotumboni laana tu.
Hapo keshokutwa tu utasikia baby shower sijui...
Mungu aniepushe na huo wendawazimu
Nilikuwaga na mategemeo makubwa na huyu mdada wakati anatoka na ngoja nikimbie ila kumbe ilikuwa nguvu za soda!Msanii Lina alikuwa akihojiwa FNL ya EATV na alipoulizwa swali ni kwa nini ametupia picha akiwa amevaa hivyo alisema sio yeye wa kwanza kufanya hivyo kuna watu kibao wanafanya na watu wanawachukulia poa
Alipoambiwa sio utamaduni wetu alisema waafrika asili yao ni kuvaa majani na kujifunika sehemu ya mbele tu kwa hiyo hata kuvaa nguo full ni utamaduni wa kizungu
Sio kwa context ya sasa....hayo mambo ya zamaniLakini kasema kweli.....Kujistiri mwili mzima ni tamaduni za kigeni.