Ile picha ya udakutz kwani si mtu akiwa kwa mshkaji wake tu.. Anataka kiki ndo hapati amekaukiwa
Yani hiyo picha ndio naiona hapa jf
Mie nlitonywa na mmbeya mmoja anaishi nyumba ya jirani kule mbezi
Hii nimekutana nayo hukooo
Ya Wema Sepetu huwa tamu sana muulizeni domo mpka leo anajuta kumuacha,ukichovya hutoki kwa Wema Sepetu
hiyo picha wapo kitandani au macho yangu????
Imebidi nicheke sana
Sasa yupo pia na Luis mNamibia aaaggghhhh kumekucha
Hadi ma video ya bar
Unamkumbuka yule jamaa wakati timu ya taifa ya Brazil imekuja Tanzania kucheza na Taifa Stars aliingia katikati ya uwanja na kumkumbatia mchezaji KAKA wakati mechi ikiendelea?
Yule ndo boyfriend wa msanii wa music Linah Sanga. Jana kupitia kipindi cha Ala za roho cha Clouds FM, msanii Lina Sanga alifunguka na kumlalamikia msanii Wema Sepetu kwa kutoka na jamaa yake wakati akijua kabisa alikuwa ni boyfriend kabla hakujatokea mtafaruku baina yao. Lina anasema ameshtuka na kuumia kusikia Wema anatoka na jamaa.
Lina, "Unajua wakati tuna mahusiano na jamaa mimi nilikuwa nawachukulia kama watu wanaofahamiana na ni marafiki wa kawaida tu hata wakiwa wametoka out, lakini baada ya mimi na jamaa kutokea kutoelewana na ni kitu cha kawaida kwenye mahusiano yoyote na nimedumu na jamaa kwenye uhusiano kwa miaka 4, sasa nimeshtuka na kuumia nisidanganye, kusikia jamaa anatoka na Wema, hata hivyo nawatakia kila la kheri kwenye uhusiano wao''.
Hata hivo Lina aligoma kuthibitisha kama ana ujauzito wa jamaa au hana.
Wema Sepetu nae ameahidi kuja kutoa lake la moyoni
huyo Luis yupo na wema tena?au
Toka insta
huyo Luis ni Modo eti niliona anapiga picha na visurual flan hivii
Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi kuniambia kuwa alishamtafuna huyu Wema kwa US$ 150 kama miaka pirate iliyopita nikabisha sana ...sasa naanza kuona ukweli.Ukipenda maisha ya kifahari bila ya kazi lazima utaishia kugawa nyapu kwa wazinzi
Mngejaribu kusoma vizuri kwanza.
Linah kasema kua huyo jamaa yake alikua na urafiki na wema tokea walivyokua kwenye mahusiano.Ndio maana hakuwatilia shaka hata walipokua wanatoka out pamoja (wema & kombo) kwani alidhani ni marafiki wa kawaida tu.
Ila baada ya kukosana kwao hadi wakaachana sasa jamaa anatoka na wema.
Hata kama ningekua mimi lazima ningeumia maana hawa lazima walikua wapenzi hata kabla jamaa hajaachana na linah.