Wakuu huyu binti nasikitika sana analeta aibu kwa familia yao kwa vivazi vyake baba yake ni pastor na zaidi ya yote hapo nyuma linah alikuwa muinbaji mzuri kanisani kabla hajaasi
Chezea linah wewe!!!! Ametupia kivazi kama cha nick minaj vile!!!!!
ulitaka aimbe amevaa bui bui? mzazi wake ajalalamika we ndio unalalamika.Yupo kazin hapo
Bhana ee hyo naona mm hainihusu kabisa,,, hayo ni maadili ya kwao kuwa mchungaji haina maana kuwa huna mapungufu
cc@gwajima
mnapinga nn nyie ni mira ya afrika kucheza na chupi? Au hamjui mwl nyerere aliita shule za msingi na cyo shule tu…… achen kusifia ukahaba bhana au huna dada(fundisha kama unaye na kama huna wapo wanduguzu)
mila ya Afrika kwanza sio kuvaa nguo ni kuziba kikojoleo tu na magome na kifuani ni wazi kama ushawaona bush men wanavyovaa au wale wahazabe,hizi nguo ameleta mzungu si utamaduni watu
Wakuu huyu binti nasikitika sana analeta aibu kwa familia yao kwa vivazi vyake baba yake ni pastor na zaidi ya yote hapo nyuma linah alikuwa muinbaji mzuri kanisani kabla hajaasi
Sasa kwa nn asivae magome sasa kuthibitisha ukwel,na hayo magome yalikuwa halili wakati wa ujima coz africa ilikuwa intawaliwa na makolon,na ndoo maana baada ya kila nchi ilipopata uhuru zikapitishwa sheria xa kulinda mila za nchi ukiongea sana tutakuoeleka kwa watu wanaovaa chini ya makalio nguo huku hawajua maana yake nn …