Mbona hata hivyo hakuna jukwaa la umbea!
Money St. Vipi mku mbona ubobojoka na kupayuka.....hebu soma uloandika chini....amevaa sawa kama zamani,sababu ni fupi sana hivyo ndio wazee wetu walikuwa wanavaa kabla ya wakoloni namsifu kwa kuendeleza mila.
Tanzania hakuna sheria ya kumzui mtu kuvaa nguo fupi au ndefu,hizo sheria zako peleka uko kwa waarabu
Acha kupiga mayowe. Kamnunulie nguo ndefu uone kama hatazivaa. Inawezekana hana nguo nyingine ndio maana anavaa nguo za wadogo zake.Wakuu huyu binti nasikitika sana analeta aibu kwa familia yao kwa vivazi vyake baba yake ni pastor na zaidi ya yote hapo nyuma linah alikuwa muinbaji mzuri kanisani kabla hajaasi
kama imekuuma chuma kamba ujinyonge
Linah ni mzuri sana
ulitaka aimbe amevaa bui bui? mzazi wake ajalalamika we ndio unalalamika.Yupo kazin hapo