Ni wasanii wa kike wanaokonga Nyoyo huku sauti zao zikisadikiwa kuweza hata kumtoa chura alikojificha. baadhi ya hit single zao ni
DAYNA NYANGE(NYAMA NDOGO)
1.mafungu Nyanya
2.Nivute kwako
3.i do
4.Angejua
LINAH(NDEGE MNANA)
1.bora nikimbie
2.atatamani
3.ole-Thelma
4.malkia wa nguvu
Nani zaidi??