Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa wamarekani wameshindwa kumpa credits zake kwenye kupinga ubaguzi na kuwapa uhuru wa kujieleza..
Wanasema baada ya Civil War afya yake kiakili pia haikua sawa. Vita ilimsumbua sana.Huyu jamaa wamarekani wameshindwa kumpa credits zake kwenye kupinga ubaguzi na kuwapa uhuru wa kujieleza..
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ila bado anabaki kuwa among the greatest men of USA history.
Wanasema baada ya Civil War afya yake kiakili pia haikua sawa. Vita ilimsumbua sana.
KAma ambavyo Red Giant husema, mambo huwa hayako vile tunayajua au kuyaona. Lincoln hakuwa muumini wa haki za binadamu au mpinga Ubaguzi au utumwa kama ambavyo dunia tumeaminishwa. Lincoln alipambana kufuta Utumwa, kwa lengo tu la kuuokoa Muungano wa Marekani.Huyu jamaa wamarekani wameshindwa kumpa credits zake kwenye kupinga ubaguzi na kuwapa uhuru wa kujieleza..
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hakuna jambo gumu kama kufanya maamuzi pale unapokuwa mtu wa mwisho kuamua kuhusu jamboKAma ambavyo Red Giant husema, mambo huwa hayako vile tunayajua au kuyaona. Lincoln hakuwa muumini wa haki za binadamu au mpinga Ubaguzi au utumwa kama ambavyo dunia tumeaminishwa. Lincoln alipambana kufuta Utumwa, kwa lengo tu la kuuokoa Muungano wa Marekani.
Hii ni nukuu yake kutoka kwenye kitabu cha Historia ya America cha Garraty & Carnes.
If I could save the Union without freeing any slave, I would do it; and if I could save it by freeing all the slaves, I would do it; and if I could do it by freeing some and leaving others alone, I would also do that’.
Huyu jamaa mwaka 1832 alipoteza kazi poa akashindwa uwakilishi lakini haikutosha mwaka 1833 akafirisika kwenye biashara yake, 1835 mchumba wake akafa, 1836 akapata nervous breakdown (MDs watupe kiswahili fasaha), 1843 akapigwa chini Congress, 1846 akachsguliwa kama Congress member, 1854 defeated for US Senate, 1856 defeated for nomination for vice president, 1858 again defeated for US Senate.
In 1860 he was elected as US president and he is humbly know as a father of Democracy as he gave his own definition of democracy as the Government of the people by the people and for the people.
That's Abraham Lincoln a lawyer and an honest man.
Kwa heshima yake manowari kubwa sana imepewa jina lake.
Consistency and persistence. Nakumbuka nilipokua Form five nilitengeneza morning speech nzuri sana kuhusu maisha ya huyu jamaa nikaipa jina NEVER GIVE UP1832, 1833, 1835, 1836, 1843, 1846, 1854, 1856 ----in those years of defeats and calamities but he didn't despair, we learn that persistence is a mother of success, no desperate in life.