Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila huyu mzee wanamkosea sana, no matter what walipaswa wawe wastaarabu kidogo.Maneno ya mwisho ya Mzee Abdul kumuasa aliyekua mwanae kuhusu maisha.
Katibu mkuu mstaafu wa CCM.Ni nani huyo Mzee Abduli?
Pambafu. Sasa jitu la CCM litaniambiaje nilinde utajiri wakati kura nililinda zikachomolewa.Katibu mkuu mstaafu wa CCM.
Natania bhana.Pambafu. Sasa jitu la CCM litaniambiaje nilinde utajiri wakati kura nililinda zikachomolewa.
Kauli hii wanaume tuiweke katika sehemu salama zaidi katika vichwa vyetu. Maneno ya mwisho ya Mzee Abdul kumuasa aliyekua mwanae kuhusu maisha.
Wameishasema kwamba Dai siyo mtoto wake.ila huyu mzee wanamkosea sana, no matter what walipaswa wawe wastaarabu kidogo.
Katibu kwa ngazi gani mkuu tutambue tafadhaliKatibu mkuu mstaafu wa CCM.
aliyedhaniwa kuwa ni baba wa diamond kabla jana.Ni nani huyo Mzee Abduli?
Binafsi mimi simfuatiliaji sana wa haya mambo ya macelebrities lakini siku mbili nimeusikia mjadala huyu.Kauli hii wanaume tuiweke katika sehemu salama zaidi katika vichwa vyetu. Maneno ya mwisho ya Mzee Abdul kumuasa aliyekua mwanae kuhusu maisha.