Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Chama cha ACT Wazalendo mkoani Lindi, wametoa malalamiko yao mbalimbali kwa Afisa mwandikishaji wa uchaguzi katika Jimbo la Mjinga pamoja na Jimbo la Lindi mjini Bwana Juma Mnwele kutokana na kutoshirikishwa katika masuala ya uandikishaji wa wapiga kura kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kutowapatia vitabu vya maelekezo kwa vyama vya siasa kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura.
Malalamiko hayo yametolewa na Katibu wa Jimbo wa ACT- Wazalendo Lindi mjini, Bw. Ahmadi Zuberi wakati akizungumza na ITV ofisini kwake huku Afisa mwandikishaji wa uchaguzi katika jimbo la Mchinga na jimbo la Lindi mjini Bw. Juma Mnwele, akitolea majibu malalamiko hayo juu yake.
Malalamiko hayo yametolewa na Katibu wa Jimbo wa ACT- Wazalendo Lindi mjini, Bw. Ahmadi Zuberi wakati akizungumza na ITV ofisini kwake huku Afisa mwandikishaji wa uchaguzi katika jimbo la Mchinga na jimbo la Lindi mjini Bw. Juma Mnwele, akitolea majibu malalamiko hayo juu yake.