LGE2024 Lindi: Aliyekuwa kada wa CCM achukua fomu kupitia ACT Wazalendo

LGE2024 Lindi: Aliyekuwa kada wa CCM achukua fomu kupitia ACT Wazalendo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Yunus Nurdin amechukua fomu kugombea Uenyekiti wa Kijiji cha Mihima kilichopo Jimbo la Mtama Mkoani Lindi. Yunus na wenzake walikuwa CCM, wamejiunga ACT wazalendo na kupokewa na Makamu Mwenyekiti Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita.
Act 1.jpeg
Act 2.jpeg
act 3.jpeg
 
Back
Top Bottom