LGE2024 Lindi: CCM yashinda kwa asilimia 99.9 kwenye Wilaya ya Mtama

LGE2024 Lindi: CCM yashinda kwa asilimia 99.9 kwenye Wilaya ya Mtama

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya Mtama Anderson Msumba leo Novemba 29,2024 ametangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27 mwaka huu katika halmashauri hiyo.

Msumba amesema kati ya nafasi za uongozi 2,325 zilizoshindaniwa na vyama vinne vya siasa,Chama cha Mapinduzi CCM kimeshinda nafasi 2290 sawa na asilimia 98.49,Chama cha Wananchi CUF kimeshinda nafasi 26 sawa na asilimia 1.12,Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeshinda nafasi 5 sawa na asilimia 0.22 huku ACT Wazalendo wakishinda nafasi 4 sawa na asilimia 0.17.

CCM Mtma.png


Source: Mashujaa Radio
 
Mungu atafanya jambo..kupitia uchaguzi wa mitaa kabla ya........?
 
Msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya Mtama Anderson Msumba leo Novemba 29,2024 ametangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27 mwaka huu katika halmashauri hiyo.

Msumba amesema kati ya nafasi za uongozi 2,325 zilizoshindaniwa na vyama vinne vya siasa,Chama cha Mapinduzi CCM kimeshinda nafasi 2290 sawa na asilimia 98.49,Chama cha Wananchi CUF kimeshinda nafasi 26 sawa na asilimia 1.12,Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeshinda nafasi 5 sawa na asilimia 0.22 huku ACT Wazalendo wakishinda nafasi 4 sawa na asilimia 0.17.

View attachment 3165437

Source: Mashujaa Radio
Hakuna wilaya inaitwa MTAMA kwenye mkoa wa Lindi, wala Tanzania.

Nachingwea,Liwale, Kilwa, Ruangwa,Lindi Mjini,hizo ndo wilaya za Mkoa wa Lindi.

Wilaya ya Mtama imeanzishwa Lini???
 
Back
Top Bottom