LGE2024 Lindi: Katibu Tawala Mkoa (RAS) ahamasisha wananchi kujitokeza kwenda kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary anawahamasisha wananchi kujitokeza kwenda kupiga kura kuchagua viongozi wanaowahitaji.

Bi Zuwena ametoa wito huo leo Novemba 27, 2024 mara baada ya kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…