Lindi: Kisa kukosa kitanda, Hospitali ya Sokoine yadaiwa kukataa kupokea mwili marehemu, wanyeshewa na mvua

Lindi: Kisa kukosa kitanda, Hospitali ya Sokoine yadaiwa kukataa kupokea mwili marehemu, wanyeshewa na mvua

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Rukia Said akikadiliwa kuwa na umri wa miaka 25-30 amekutwa na umauti ndani ya basi la abiria akisafirishwa kutoka Kilwa Pande kuelekea Hospitali ya Rufaa mkoani Lindi - Sokoine kwa lengo la kupatiwa matibabu.

Katika Hali isiyo ya kawaida mwili wa marehemu umekataliwa kuingia ndani ya Hospitali hiyo na kutelekezwa barabarani kabla ya mvua kunyeshea mwili huo huku ndugu wakihaha kuomba msaada kutoka kwa wasamalia wema ili kurejea makwao kwa shughuli za mazishi.

Ndugu wa marehemu Zakia Yusuph na mashuhuda wa tukio hilo lililojiri leo Machi 11, 2025 akiwemo Tausi Jafari na Abdallah Mtaji ambaye ni miongoni mwa wasafiri walioambatana na marehemu kutoka Kilwa, wameeleza kusikitishwa kwa kitendo kilichooneshwa na wahudumu wa Hospitali hiyo huku sababu za kukataliwa kwa mwili ikitajwa kuwa ni kukosekana kwa kitanda cha kubeba mwili na kuingizwa mochwari jambo ambalo liliondosha matumaini ya kupatiwa huduma.

Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine Dkt. Shadrack Msasi amekiri kutokea kwa jambo hilo lililosababishwa na ndugu wa marehemu kutopewa taarifa sahihi na kueleza kuwa hata hivyo mwili ulitakiwa kupokewa geti kubwa walipofika watu hao kwa mara ya kwanza na baadae kufanyiwa vipimo kabla ya kupelekwa mochwari.

Aidha, amekana taarifa ya kukosekana kwa vitanda katika Hospitali hiyo kama taarifa zilizovyotolewa na wahudumu na kuongeza kuwa, vifaa vyote vinapatikana na huduma zote za msingi zinatolewa kwa uhakika.

Mpaka mwili wa marehemu unaondolewa eneo la Tukio bila ya huduma yoyote, wasamalia wema wakiongozwa na jopo la madereva wa bodaboda Manispaa ya Lindi wamekusanya kiasi cha shilingi 101,100/= zilizokabidhiwa kwa ndugu pamoja na jeneza ili kuhifadhi mwili wakati na baada ya kurejea makwao.


1741696958298.png
 
Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Rukia Said akikadiliwa kuwa na umri wa miaka 25-30 amekutwa na umauti ndani ya basi la abiria akisafirishwa kutoka Kilwa Pande kuelekea Hospitali ya Rufaa mkoani Lindi - Sokoine kwa lengo la kupatiwa matibabu.

Katika Hali isiyo ya kawaida mwili wa marehemu umekataliwa kuingia ndani ya Hospitali hiyo na kutelekezwa barabarani kabla ya mvua kunyeshea mwili huo huku ndugu wakihaha kuomba msaada kutoka kwa wasamalia wema ili kurejea makwao kwa shughuli za mazishi.

Ndugu wa marehemu Zakia Yusuph na mashuhuda wa tukio hilo lililojiri leo Machi 11, 2025 akiwemo Tausi Jafari na Abdallah Mtaji ambaye ni miongoni mwa wasafiri walioambatana na marehemu kutoka Kilwa, wameeleza kusikitishwa kwa kitendo kilichooneshwa na wahudumu wa Hospitali hiyo huku sababu za kukataliwa kwa mwili ikitajwa kuwa ni kukosekana kwa kitanda cha kubeba mwili na kuingizwa mochwari jambo ambalo liliondosha matumaini ya kupatiwa huduma.

Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine Dkt. Shadrack Msasi amekiri kutokea kwa jambo hilo lililosababishwa na ndugu wa marehemu kutopewa taarifa sahihi na kueleza kuwa hata hivyo mwili ulitakiwa kupokewa geti kubwa walipofika watu hao kwa mara ya kwanza na baadae kufanyiwa vipimo kabla ya kupelekwa mochwari.

Aidha, amekana taarifa ya kukosekana kwa vitanda katika Hospitali hiyo kama taarifa zilizovyotolewa na wahudumu na kuongeza kuwa, vifaa vyote vinapatikana na huduma zote za msingi zinatolewa kwa uhakika.

Mpaka mwili wa marehemu unaondolewa eneo la Tukio bila ya huduma yoyote, wasamalia wema wakiongozwa na jopo la madereva wa bodaboda Manispaa ya Lindi wamekusanya kiasi cha shilingi 101,100/= zilizokabidhiwa kwa ndugu pamoja na jeneza ili kuhifadhi mwili wakati na baada ya kurejea makwao.View attachment 3266728
Huyo siyo LIKUD kweli? Haonekani jamvin kwasababu kila mara yuko lindi na mtwara

Anti English medium enthusiast

adriz

N de A
 
Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Rukia Said akikadiriwa kuwa na umri wa miaka 25-30 amekutwa na umauti ndani ya basi la abiria akisafirishwa kutoka Kilwa Pande kuelekea Hospitali ya Rufaa mkoani Lindi - Sokoine kwa lengo la kupatiwa matibabu.

Katika Hali isiyo ya kawaida mwili wa marehemu umekataliwa kuingia ndani ya Hospitali hiyo na kutelekezwa barabarani kabla ya mvua kunyeshea mwili huo huku ndugu wakihaha kuomba msaada kutoka kwa wasamalia wema ili kurejea makwao kwa shughuli za mazishi.

Ndugu wa marehemu Zakia Yusuph na mashuhuda wa tukio hilo lililojiri leo Machi 11, 2025 akiwemo Tausi Jafari na Abdallah Mtaji ambaye ni miongoni mwa wasafiri walioambatana na marehemu kutoka Kilwa, wameeleza kusikitishwa kwa kitendo kilichooneshwa na wahudumu wa Hospitali hiyo huku sababu za kukataliwa kwa mwili ikitajwa kuwa ni kukosekana kwa kitanda cha kubeba mwili na kuingizwa mochwari jambo ambalo liliondosha matumaini ya kupatiwa huduma.

Snapinst.app_480941475_1208575941273458_5449512019511590983_n_1080.jpg



Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine Dkt. Shadrack Msasi amekiri kutokea kwa jambo hilo lililosababishwa na ndugu wa marehemu kutopewa taarifa sahihi na kueleza kuwa hata hivyo mwili ulitakiwa kupokewa geti kubwa walipofika watu hao kwa mara ya kwanza na baadae kufanyiwa vipimo kabla ya kupelekwa mochwari.

Aidha, amekana taarifa ya kukosekana kwa vitanda katika Hospitali hiyo kama taarifa zilizovyotolewa na wahudumu na kuongeza kuwa, vifaa vyote vinapatikana na huduma zote za msingi zinatolewa kwa uhakika.

Mpaka mwili wa marehemu unaondolewa eneo la Tukio bila ya huduma yoyote, wasamalia wema wakiongozwa na jopo la madereva wa bodaboda Manispaa ya Lindi wamekusanya kiasi cha shilingi 101,100/= zilizokabidhiwa kwa ndugu pamoja na jeneza ili kuhifadhi mwili wakati na baada ya kurejea makwao.

Source: Mashujaa Radio
 
"Aidha, amekana taarifa ya kukosekana kwa vitanda katika Hospitali hiyo kama taarifa zilizovyotolewa na wahudumu na kuongeza kuwa, vifaa vyote vinapatikana na huduma zote za msingi zinatolewa kwa uhakika."

OKAY
 
Ila matamasha na sherehe na kuwahonga Simba na yanga pesa zipo....nchi imelaaniwa hii
 
Wako wengi sana humu jukwaani na wanakera sana

Shotocan Mtoto wa Shule njooni muone juhudi za CCM katika kuleta maendelep
Kwani hapo tatizo ni nini? Mawili wa marehemu kunywshewa na mvua au ndugu wa marehemu kuchelewa kumpeleka mgonjwa hospitali?

Serikali kupitia Wizara ya Afya inatangaza kila siku kwamba ukisikia tu dalili ya kuumwa NENDA HOSPITALI. Sasa huyu wamemchelewesha kumpeleka hospitali kafia kwenye gari, hoja inakuwa eti HAJAPOKELEWA HOSPITALI na sio KUCHELEWA KUMPELEKA MGONJWA HOSPITALI! Huu ni ujinga na upumbavu!
 
Back
Top Bottom