VANDYBLEAZE
Member
- Dec 28, 2024
- 5
- 10
Ramadhan Mubarak
Baada ya kuimaliza mkoa wa pwani unaingia mkoa wa lindi kwa kuanza na wilaya ya kilwa
Safari ni ndefu kama masaa matatu hivi unaingia kwenye mji mkongwe, uliotawala amani na utulivu.
Upepo unasukumwa na mawimbi ya bahari ya hindi, tambarare na milima ya kuchosha mwili na kabila linaloongoza mji huu ni wamakonde na wamwela.
Hata ukikosa pa kulala kwenye mji huu wageni wake hawana hiyana utakaribishwa na kuishi nao kwa amani na ujamaa mutaunda.
Asilimia kubwa ya watu wa mji huu wanajishughulisha na shughuli za kilimo na uvuvi na wakitegemeana na wafanyakazi wa serikali ambao wanasubiri mishahara kila mwisho wa mwezi.
Kasoro za mji huu ni nyingi ila moja kubwa ni maendeleo hafifu, uchumi duni ukifika mkoa huu kupata fursa labda utafute kwa darubini kali. Wengi wa watu wa mji huu hawafanyi shughuli za kiuchumi ili wakue bali wanafanya shughuli za kiuchumi kwa ajili ya kukidhi matakwa ya matumbo yao tu.
Sijajua sababu za serikali kuufanya mkoa huu kuwa wa mwisho kimaendeleo licha ya rasilimali za kutosha kama gesi,bahari, ardhi ya kilimo na amani na utulivu...
KARIBU LINDI, PARIIIS!!
Baada ya kuimaliza mkoa wa pwani unaingia mkoa wa lindi kwa kuanza na wilaya ya kilwa
Safari ni ndefu kama masaa matatu hivi unaingia kwenye mji mkongwe, uliotawala amani na utulivu.
Upepo unasukumwa na mawimbi ya bahari ya hindi, tambarare na milima ya kuchosha mwili na kabila linaloongoza mji huu ni wamakonde na wamwela.
Hata ukikosa pa kulala kwenye mji huu wageni wake hawana hiyana utakaribishwa na kuishi nao kwa amani na ujamaa mutaunda.
Asilimia kubwa ya watu wa mji huu wanajishughulisha na shughuli za kilimo na uvuvi na wakitegemeana na wafanyakazi wa serikali ambao wanasubiri mishahara kila mwisho wa mwezi.
Kasoro za mji huu ni nyingi ila moja kubwa ni maendeleo hafifu, uchumi duni ukifika mkoa huu kupata fursa labda utafute kwa darubini kali. Wengi wa watu wa mji huu hawafanyi shughuli za kiuchumi ili wakue bali wanafanya shughuli za kiuchumi kwa ajili ya kukidhi matakwa ya matumbo yao tu.
Sijajua sababu za serikali kuufanya mkoa huu kuwa wa mwisho kimaendeleo licha ya rasilimali za kutosha kama gesi,bahari, ardhi ya kilimo na amani na utulivu...
KARIBU LINDI, PARIIIS!!