Lindi: RC Zainabu Telack ameagiza kuteketezwa kwa tani 24 za Korosho zilizopo Mtama

Korosho ni dhahabu, inaingia vipi akilini kwamba kiongozi anaamuru dhahabu iteketezwe.......hivi huyo mkuu wa mkoa anajua hata viwango vya udumavu kwa watoto kwenye mkoa wake hadi kuamuru korosho kuteketezwa. So pathetic.
 
Kwani mama hajafungua nchi?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Chanzo cha uharibifu wa soko la korosho lilianzia kwa bwana "yule" alipoingilia soko la korosho kwa kupiga marufuku makumpuni yaliyo kuwa yananunua korosho Hadi kuwatishia wabunge waliomshauri kuwa hata ataweza ku "deal"na shangazi zao.

Makampuni yote yaliondoshwa na tukaambiwa kila mwananchi anaunue japo kg 1 korosho zote zitakuwa zimeisha.
 
Wangeuza hata kama chakula cha mifugo. Waniletee hata tani nne.
Aisee Nguruwe wangu watafurahi saaana.
 
Wasiziteketeze wapeleke kwa wale wanaoandaa vyakula vya mifugo.
 
Mbona sielewi, kama zimepoteza ubora si wauze kwa wanaotaka hrade ya chini? Au ndio kutafuta rushwa?
 
Magufuli wakati anavuruga nyinyi wenyewe ndo mliopiga makofi na vinubi?
 
Na vipi mama mwaka unaisha huu hajazifungulia nchi?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Kwa watz kunakisicholika kweli
Huyo mkuu amesema tu zichomwe badae wapige hesabu namna ya kugawana mzigo
 
Duh...
 
Kwenye suala la korosho,
Serikali yetu ilishafeli na inaendelea kufeli.

Hii biashara walitakiwa waiche ijiendeshe yenyewe Kama yalivyo mazao mengine ya chakula.
Korosho ni zao la chakula? Hakunaga biashara holela, regulation ni lazima
 
Maamuzi ya wakati ule wa yule jamaa ndio yalichangia kuharibu hizo korosho
Ni kweli, Ila tatizo nao Hawa wa sasa Ni waongo. Maana nape alisema sasa hivi kwenye korosho mambo Safi, wakaja chawa huku wakamwaga kila aina ya sifa.
Sasa tena yanatokea haya leo inashangaza.
 
Kwanini zisingeuzwa kwa wabanguaji wa ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…