Lindi: RC Zainabu Telack ameagiza kuteketezwa kwa tani 24 za Korosho zilizopo Mtama

Wa
NImeziona hapo mtama nyuma ya ATM ya nmb Kuna mpaka mbao kibao sijui zilikamatwa lini zikatelekezwa pale..me nashauri serikali Bora igawe kwa wananchi vitu vyinavyokamatwa
Wangeziuza katika mfumo wa mnada. Hivi mkuu hiyo ofisi ya mbunge wa mtama hapo ina kazi gani? Maana sijawahi kumuona Nape akifika maeneo hayo badala yake anataka aharibu pesa ajenge ofisi nyingine pale kiwalala
 
Kwenye suala la korosho,
Serikali yetu ilishafeli na inaendelea kufeli.

Hii biashara walitakiwa waiche ijiendeshe yenyewe Kama yalivyo mazao mengine ya chakula.
Yule mchunga ng'ombe alivuruga kila kitu,alikufa tunanywesha soda mbuzi kwa pesa za korosho,akavuruga,rejea kunde nk
 
M
Hadi sasa korosho imeshashindikana kwa serikali

Mlikuwa mnatukana na kumsingizia Magufuri kuwa ndie anaua zao la korosho, Sasahivi hayupo huo mzigo mnantwisha yupi? maana mbebeshwa mabaya hayupo 🤣🤣mbona sijamwona waziri wa kilimo hakijinasibu mafanikio ya Samia ya utawala wa mwaka mmoja,ila watanganyika kwa unafiki utajambo.
 
Kwani
Meko ndio ameua zao la korosho na watu wanamsifia tu
Kwani Sasahivi yupo mbona hamfunyi? mbona mnasifia Samia kuwa amefungua mchi,mazao yote yamepata masoko ikiwemo mbaazi na maindi, Sasa Nini kimemshinda Samia kwa korosho, mpaka bado mnamuwaza Magufuri?
 
Wasiziteketeze wapeleke kwa wale wanaoandaa vyakula vya mifugo.
Tani 24 sio kdg. Halafu mbona hajataja thamani yake?! Zaidi ya kusema zilikua grade one!

Nani anajua? Lazima kuna mazingira ya uwizi wizi'

Hawa wanatoaga mzigo mzuri usiku usiku wanaingiza korosho zisizofaa. Ndio maana wanaona suluisho ni kuziteketeza ( kupiteza ushaidi)

Kwa nn wasichunguzwe!?
 
Sababu si kukosa wateja, ila ni kutokuwa na ubora unaotakiwa kwa korosho kuingia sokoni(mnadani). Hapo kuna mchanganiko wa koroshi grade 1 na grade 2 ambazo hazifai.
 
Zao linaloingiza pesa nyingi za kigeni linachezewa kama kichwa cha hayawani kisa siasa za kijinga. Hii nchi inafelishwa sana na uongozi usio na maono zaidi ya kula kwa urefu wa kamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…