Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Mkoa wa Lindi unatarajia wapiga kura wapya 121,187 kwa ajili ya uchaguzi ujao, huku vituo vya kujiandikisha vikiwa 1,308, ongezeko la vituo 70 ikilinganishwa na uchaguzi uliopita.
Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mbarouk Salum Mbarouk, amewataka wadau wa uchaguzi mkoani Lindi kutumia nafasi zao kuhamasisha ushirikiano na kuhakikisha taarifa sahihi na za wakati zinatolewa kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura.
Mkutano huo wa wadau umefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi.
Source: Mashujaa FM
Mkoa wa Lindi unatarajia wapiga kura wapya 121,187 kwa ajili ya uchaguzi ujao, huku vituo vya kujiandikisha vikiwa 1,308, ongezeko la vituo 70 ikilinganishwa na uchaguzi uliopita.
Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mbarouk Salum Mbarouk, amewataka wadau wa uchaguzi mkoani Lindi kutumia nafasi zao kuhamasisha ushirikiano na kuhakikisha taarifa sahihi na za wakati zinatolewa kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura.
Mkutano huo wa wadau umefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi.
Source: Mashujaa FM