Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kupitia ukurasa wa X Zitto Kaandikwa haya;
Kijiji cha Kiranjeranje kilichopo jimbo la kilwa kusini mkoani lindi,ACT Imeshinda kijiji na msimamizi aliamua kuwa atatangaza. Polisi wakamuambia maagizo hayako hivyo, yeye akasema tunatangaza matokeo kwa mujibu wa sheria na siyo maagizo. Askari wakampiga na kuondoka nae.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Matokeo mpaka sasa hayajatangazwa na msimamizi hajaachiwa na polisi amewekwa mahabusu kituo cha polisi kilwa MasokoHakukuwa na Uchaguzi bali ni maagizo. CCM inapiga na kuua raia ili ijitangaze kuwa washindi. So shameful
Kupitia ukurasa wa X Zitto Kaandikwa haya;
Kijiji cha Kiranjeranje kilichopo jimbo la kilwa kusini mkoani lindi,ACT Imeshinda kijiji na msimamizi aliamua kuwa atatangaza. Polisi wakamuambia maagizo hayako hivyo, yeye akasema tunatangaza matokeo kwa mujibu wa sheria na siyo maagizo. Askari wakampiga na kuondoka nae.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Matokeo mpaka sasa hayajatangazwa na msimamizi hajaachiwa na polisi amewekwa mahabusu kituo cha polisi kilwa MasokoHakukuwa na Uchaguzi bali ni maagizo. CCM inapiga na kuua raia ili ijitangaze kuwa washindi. So shameful