moekhitaryan
Senior Member
- Oct 3, 2016
- 121
- 104
- Thread starter
-
- #21
we tulia wanashobo saana kisa kaconsistence ka tumechi kadhaa wanaona taaarIla Liverpool mnabweteka sana, ngoja mpigwe tu kwenu hamna namna!!
Liver 4-3-34- 2 - 3 - 1
De Gea
Valencia, Bailly, Smalling, Blind
Herreira Scheidelin
Rashford Pogba Martial
Ibrahimovic
1.Karius
2.clyne
3.mpiga penalty
4.matip
5.klavan
6.hendo
7.mane
8.WILJNALDUM
9.firmino
10.coutinho
11.Lallana
mziki wetu ni uleule, na mtaucheza
Liver 4-3-3
Karius
Clyne, Matip, Klavan, J.Milner
Lallana, Henderson, Wijnaldum,
Mane, Firmino, Coutinho
Luke Shaw na Mhkytarian wako fit kiafya1.Dave
2.Toni
3.Shaw
4.Smalling
5.Bailly
6.Herrera
7.Mata
8.Pogba
9.Ibra
10.Micki
11.Martial
Nilikuwa napenda sana blind acheze ila kwa hii game ni yakukimbizana sana blind atulie tu nje, rashford aje baadae maana dogo uwa namuona ni hatari sana akianzia nje.
22:00Match ni saa ngapi wadau??
Mou amuanzishe micki bwana lingard weka nje.Luke Shaw na Mhkytarian wako fit kiafyahivyo Jogoo lazima leo achinjwe na tumpikie pilau
Asante mkuu ikifika mida hiyo nitakuwepo humu kupata matokeo.22:00
Ni kwel..Mou amuanzishe micki bwana lingard weka nje.
[emoji120] pamoja sana mkuuAsante mkuu ikifika mida hiyo nitakuwepo humu kupata matokeo.
Na yule Depay aka the new CR7Ni kwel..
Mick ana kasi sana na ni mzoefu zaidi.
Hvyo natumaini kwa mchezo wa leo unaohitaji speed, basi wachezaji kama Martial, Rashford na Mhktariyan wanahitajika zaid