Line Yangu Ndo Inayofaa...

Mmh! wala wewe sio fiancee wake, unajipendekeza tu. Ngoja nikueendee kwa Bi. Kalembwana kule Kilombero nikakushushe busha ndio utakoma

EEEEEEEEEEEHhhhhhhhhhhh hayo tena? Judith tayari mambo ya LUKOMOLO NA SAMBA toka mitaa yetu kwa mzee MWANAMARUNDI kanda ya ziwa, Busha litagonga na kurudi kwako maana Ngosha hata siku moja hawapati Busha, usijaribu weye....
 

Miss Judith nitakuimbia kila wimbo utakao, nitakuheshimu zaidi ya unavyodhani, jamani tukutane na tuliombee taifa letu sote maana tukiwa wote mimi na wewe lazima kondoo wengine watakuja, nimeongea na Rev Masanilo atakuwepo pia....Unaonaje hapo?
 
EEEEEEEEEEEHhhhhhhhhhhh hayo tena? Judith tayari mambo ya LUKOMOLO NA SAMBA toka mitaa yetu kwa mzee MWANAMARUNDI kanda ya ziwa, Busha litagonga na kurudi kwako maana Ngosha hata siku moja hawapati Busha, usijaribu weye....
hahahahahahahahahahahahahahah teh teh teh teh teh hii saga lazima niibuke kidedea Mkuu, na wewe utakuwa mshereheshaji kwenye ndoa yangu takatifu na Miss Judy i.e. (Mokoyo and Judith wedding)
 
Miss Judith nitakuimbia kila wimbo utakao, nitakuheshimu zaidi ya unavyodhani, jamani tukutane na tuliombee taifa letu sote maana tukiwa wote mimi na wewe lazima kondoo wengine watakuja, nimeongea na Rev Masanilo atakuwepo pia....Unaonaje hapo?

haha, haya bwana lakini naomba tuheshimu miili ya wamama. miili yao ni miili yetu kwa burudani zetu, kwa uzazi wetu na kwa ustawi wetu sote. muipende na kuithamini kama mnavyoipenda na kuithamini miili yenu. msigeuze miili ya mama na dada zenu kuwa mitambo ya kupigia simu kila line. huu ndio ujumbe wangu tsaidiane kuueneza kwa kila mtu na hapo hata akija rev mamabo yatakuwa poa
 
haha, kama unataka kuachana na ukapera wewe muombe Mungu atakupa mke mwema maana yeye ni mwaminifu kwa wote wamwaminio. sasa haya ya kujua kama nimeolewa au la sio nzuri bwana tena hadharani namana hii?
Miss Judy asante kwa maneno mazuri, tuache kuongelea hadharani, ngoja tuingie upenuni tuchat through PM
 
jamani hivi kuna ndoa zinatangazwa hapa? hahaha. very fun
 
Sasa miss Judith tunakutana au inakuwaje jamani? ila kama kopa yangu inadata ujue kusikia maneno yako bila kusikia YES we can Kutana?
 
Miss Judy asante kwa maneno mazuri, tuache kuongelea hadharani, ngoja tuingie upenuni tuchat through PM
Fisadi plus Mchakachuaji huyu, mbona unataka kujificha, judith mwaya usiende chumbani mambo yote sebuleni.....
 
helo guyz, naenda kujipumzisha sasa. kesho siku ya kazi jamani. good night
 
Fisadi plus Mchakachuaji huyu, mbona unataka kujificha, judith mwaya usiende chumbani mambo yote sebuleni.....
haahahahahahahahha very very happy mchakato mgumu hadi nimeitwa fisadi mchakachuaji lol, nimejiondoa kwenye game bana Magulumangu, kila la kheri
 

Na maduka yanayouza vocher za tiGO yanajulikana utayaona mlangoni yamevalishwa mshipi (chain).
 
Mimi nina line zote ila naipenda tigo zaidi.
 
kwani we unamshauri nini......????

mh mpenzi pamoja na ujanja wangu na umakeke wangu wote kwenye mambo haya cna nilijualo wala sihitaji kujua. Kifupi pamoja na yote ila nina hofu ya mungu mwaya
 
mh mpenzi pamoja na ujanja wangu na umakeke wangu wote kwenye mambo haya cna nilijualo wala sihitaji kujua. Kifupi pamoja na yote ila nina hofu ya mungu mwaya
Hata mimi mtandao huu sijawahi hujaribu.... ila kuna sifa mbaya nimewahi kuzisikia... anyway I never judge... different strokes for different folks
 
Hata mimi mtandao huu sijawahi hujaribu.... ila kuna sifa mbaya nimewahi kuzisikia... anyway I never judge... different strokes for different folks


Viongozi wake wa kashfa au Mafisadi? Nijulishe mkuu mana Voda wao wanavuja siri zetu mkuu mara wanakampenia mara line bure kwa viongozi wa serikali ahh mie sasa sijui nisiwe na simu tuuuuuu
 
mh mpenzi pamoja na ujanja wangu na umakeke wangu wote kwenye mambo haya cna nilijualo wala sihitaji kujua. Kifupi pamoja na yote ila nina hofu ya mungu mwaya


Heee inamaana line ya tigo unaweza mpigia mungu na akapokea au una maana gani hapa....Wewe line gani unatumia? Ile inayovuja siri zetu za ndani wakati wa Kampeni au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…