Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
kwa kweli hiyo line ni haramu na ya kisodoma. napata nightmare na hangover za ajabu nikiona hata zile picha kule kwa wakubwa. tafadhari jamani kaka zetu kwa nini lakini mnakosea shabaha namana hii? we umeomba ttcl unaunganishiwa unawela tigo! kwa kweli jamani hapana. mkutano umevurugwa na mamabo haya ya kuchakachua line za simu, nadhani ninahitai kupumzuka niliombee taifa letu kwa Mungu
Shehetwani weeeee tena mkubwamkubwa tuuWakuu hivi simu zinatofautiana kuaccept line? Hii simu kila line inaingia gsm I mean lakini tatizo liko katika mawasiliano, line za voda wakati mwingine ukiitafuta hapatikani, Celtel zenyewe hupwaya na ukiitikisa tu network failure, Airtel mambo ya One8 inakamata lakini milimani tu, mabondeni hamna kitu, Zantel zenyewe ukiwa karibu na bahari inakamata sijui hii ni kwa watu wa Pwani tuu au vipi, Sasa mie nina line Ya Tigo, wakuu kote inakamata hata vijijini siku hizi pia mnajua bei yake rahisi, usiku napiga, mchana napiga, jioni ndo usiombe, hamna eti network busy wakati wowote, Tatizo ni moja tu, Kuiweka mara ya Kwanza ilikuwa ngumu kidogo...hii hali kuna mtu humu imemkuta wazee?
wewe huwa hatuagi huku, unajiondokea kimya kimya tu, naona umekuja na utamaduni wako mpya
Shehetwani weeeee tena mkubwamkubwa tuu
Dada Judith sio sisi, bali ni midadi ikipanda, na hasa ukizingatia minara ya simu imekaribiana mno ndo inakuwa basi tena!
Shehetwani weeeee tena mkubwamkubwa tuu
hivi amemaanisha vingine eeh?
Hebu muongezee matusi.
sasa nitafanyaje Mkuu, huyu mrembo anatuletea utamaduni wa facebook hukuha ha ha! Ndio unamshushua hivyo jamani!
ebu fafanua hapa, naaanza kupata shaka, au Semenya in da house? am just crossing the bridgeMimi nina line zote ila naipenda tigo zaidi.
ebu fafanua hapa, naaanza kupata shaka, au Semenya in da house? am just crossing the bridge
haahahahahahahahha very very happy mchakato mgumu hadi nimeitwa fisadi mchakachuaji lol, nimejiondoa kwenye game bana Magulumangu, kila la kheri
Husninyo inakuwaje tena mkuu?Tunasutana tena wakati line tunayotumia ni ya TIGO?
ebu fafanua hapa, naaanza kupata shaka, au Semenya in da house? am just crossing the bridge
jamani acheni usodoma. Mungu yupo nyie mjifanye wajanja na ma-tigo yenu hayo. mnadhani mnaweza kugeuza maumbile? thubutu! Mungu muumba ni Mungu, muacheni aitwe Mungu
muone vile. Tena shetwain kabisa.
Sisi tulifikiri unaongelea tigo simcard kumbe unaongelea vijambio vyetu.
etiiiiiiiiiiiiiiiiiii, mbona ndo inasemekana watumiaji wake ni wengi sana nchini kwetu?....
jamani acheni usodoma. Mungu yupo nyie mjifanye wajanja na ma-tigo yenu hayo. mnadhani mnaweza kugeuza maumbile? thubutu! Mungu muumba ni Mungu, muacheni aitwe Mungu
muone vile. Tena shetwain kabisa.
Sisi tulifikiri unaongelea tigo simcard kumbe unaongelea vijambio vyetu.
Hata bara na visiwani wameanza tumia maana inawapendezea na unafuu wake...Hamna vuri wala kiangazi ngoma unapiga tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuPwani ndio wamejaa
kwa majibu yako dada Judith natamani tuonane, mana inaonesah ni msichana mwenye hekima please send me ur contacts through private message. Hapa sitanii am serious