Hujaza Kibaba
Member
- Sep 5, 2019
- 59
- 75
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ninataka uje nilipoHabari za jioni, kuna ofa ya line za kampuni moja ya mtandao wa simu zinazoitwa M2M ambazo ni maalumu kwa ajili ya Data tu na si vinginevyo
Nakusajilia popote ulipo endapo una namba ya Nida au kama ni mkazi wa Dar es Salaam tunaweza kukutana physically pia ofisi ipo karibu na kituo cha Muhimbili cha mwendokasi
Utaratibu kama uko mbali ni kwamba utaenda kwa wakala yoyote na kununua line mpya ambayo haijasajiliwa kisha utapiga picha baadhi ya details nitakazokuelekeza na kunitumia namba ya Nida na baada ya muda mfupi tu usajili utakuwa umekamilika. Bei ya line moja ni 12K tu, Karibu PmView attachment 3239307
Karibu mkuuTunakuja
Uko wapi?Mimi ninataka uje nilipo
Niko Kinondoni. Hiyo 12k ni kwa ajili ya kuunganishwa tu au ndio pamoja na kifurushi?Uko wapi?
Hiyo ni bei ya line, kinondoni kubwa bossNiko Kinondoni. Hiyo 12k ni kwa ajili ya kuunganishwa tu au ndio pamoja na kifurushi?
Tutajuaje kama siyo tapeli?Utaratibu kama uko mbali ni kwamba utaenda kwa wakala yoyote na kununua line mpya ambayo haijasajiliwa kisha utapiga picha baadhi ya details nitakazokuelekeza na kunitumia namba ya Nida na baada ya muda mfupi tu usajili utakuwa umekamilika. Bei ya line moja ni 12K tu, Karibu Pm
Hiyo ni kuunganishwa tuNiko Kinondoni. Hiyo 12k ni kwa ajili ya kuunganishwa tu au ndio pamoja na kifurushi?
Si unajua tena kaka kila kitu ni fursaHizo line kutoka bure mpk sasa mnaziuza
Ni kama speed ya line za kawaida tu utofauti hii ni ya internet tu sio vinginevyoSpeed yake inaridhisha?
Ndio mkuu hapana shaka kwa hilo na hata ukitaka unakuja ofisini ndio maana nikatoa maelekezo ya ofisi piaTutajuaje kama siyo tapeli?
Huyo wakala yeyote mnajuana ili yakibuma iwe rahisi kukukamata?
Je hiyo M2M imesajiliwa na ofisi zake ziko wapi?
Ni kama kawaida tu mkuuVocha za hio kampuni zinapatikana vipi?